Kombe la Shirikisho Afrika

Kombe la Shirikisho Afrika

LEO, Singida BS watakuwa dimba la Prince Louis Rwagasore, jijini Bunjumbura wakicheza na Flambeau Du Centre.

Mechi hii itachezwa kuanzia saa 10:00 jioni, na kuruka mbashara kupitia AzamSports4HD.

Je, ni Singida BS ama Flambeau nani kuanza kuonja harufu ya hatua ya makundi?

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mchezo huu.

#CAFCC #SingidaBS

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *