Odinga, anayetajwa kuwa mwanaharakati wa demokrasia, ametunukiwa heshima kamili ya kijeshi pamoja na taratibu za kitamaduni na atazikwa karibu na kaburi la baba yake.

Odinga, aliyekuwa na umri wa miaka 80, alifariki dunia Jumatano nchini India, na mwili wake kurejeshwa nchini Kenya siku ya Alhamisi .

Hafla nne za kutazama mwili wa Raila zimeandiliwa katika muda wa siku tatu zilizopita na kuwavutia maelfu ya waombolezaji pamoja na kusababisha vifo vya watu watano na kujeruhiwa kwa mamia ya wengine kwenye makanyagano yaliotokea.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *