SPORTS AM | Mkuu wa Matangazo na Promosheni wa Mafia Boxing Promotion, Omari Cliton anafunguka ugumu waliokutana nao wakati wana...

SPORTS AM | Mkuu wa Matangazo na Promosheni wa Mafia Boxing Promotion, Omari Cliton anafunguka ugumu waliokutana nao wakati wanaazna kutekeleza majukumu yao ya #Vitasa na aina ya mabondia waliokuwanayo.

Kwa upande mwingine Cliton amesema lengo lao lilikuwa ni kuhakikisha wanapata mechi za kimataifa kwa kuwaleta mabondia wa nje kuja kucheza nchini.

Mhariri: @allymufti_tz

#AzamSports #MafiaBoxing #OmariCliton

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *