Jeshi la Israel lilidai kuwa lilishambulia maeneo kadhaa yanayodhibitiwa na Hamas, baada ya wanamgambo wa kundi hilo la Kipalestina kuwashambulia na kuwaua wanajeshi wake wawili huko Rafah, kusini mwa  Gaza.

Hamas kwa upande wao wanasema Israel inatafuta sababu za kuanzisha tena mapigano. Pande zote mbili zimekuwa zikitupiana lawama kwa kukiuka mpango huo wa kusitisha mapigano uliosimamiwa na rais wa Marekani Donald Trump na uliodumu kwa siku tisa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *