SK2 / S02S20 Oktoba 2025

Israel imeanza tena kuruhusu misaada ya kibinadamu kuingia katika ukanda wa Gaza// Rais wa Marekani Donald Trump amemtaka mwenzake wa Ukraine Volodymyr Zelensky kukubaliana na masharti ya Urusi ili kumaliza vita// Mji wa al-Fashir katika mkoa wa Darfur, Sudan, unazidi kuwa kitovu cha maafa makubwa ya kibinadamu baada ya mashambulizi.

https://p.dw.com/p/52HOc

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *