Ajali ya treni mashariki mwa Ethiopia yaua watu 14, wengine 29 wajeruhiwa

Watu wasiopungua 14 wamefariki dunia na wengine 29 kujeruhiwa baada ya treni ya abiria kupata ajali mashariki mwa Ethiopia, kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa Jumanne na vyombo vya habari vya serikali.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *