Watu zaidi ya milioni moja warejea katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum

Watu zaidi ya milioni moja wamerejea katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum, katika kipindi cha miezi 10 iliyopita licha ya hali ya ukosefu wa usalama, shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limesema siku ya Jumanne.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *