SERIE A leo Ijumaa

SERIE A leo Ijumaa

Saa 3:45 usiku, AC Milan watakuwa nyumbani dimba la San Siro wakiwakaribisha PISA.

AC Milan wanaingia katika mchezo huu wakiwa wanaongoza msimamo huku PISA wakiwa nafasi ya mwisho, ni mechi inayowakutanisha vinara na wanaoburuza mkia.

Je, mambo yatakuaje?….

Mechi hii itaruka mbashara kupitia AzamSports3HD…

@seriea

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *