Photos from Habari Star TV Tanzania's post

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na wananchi waliofika kumpokea katika uwanja wa Ndege wa Mwanza tarehe 27 Oktoba, 2025 kwa ajili ya kufunga Kampeni za Uchaguzi za CCM tarehe 28 Oktoba, 2025 mkoani Mwanza.

#StarTvUpdate

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *