RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ameteua wabunge sita kuingia katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Moses Kusiluka imeeleza kuwa uteuzi huo unaanza leo Novemba 10.

Wabunge walioteuliwa ni Dk. Dorothy Gwajima, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, Balozi Dk. Bashiru Ally, Abdullah Ali Mwinyi, Balozi Khamis Mussa Omar na Dk. Rhimo Nyansaho. SOMA: Rais Mwinyi atangaza mwelekeo mpya SMZ

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *