Wakulima wa chama kikuu cha wakulima wa korosho MAMCU wilayani Masasi na Nanyumbu mkoani Mtwara wamefanikiwa kukusanya zaidi ya Shilingi Bilioni 149 baada ya kuuza korosho zao katika minada miwili iliyofanyika msimu wa kilimo wa mwaka 2025/2026.
Fedha hizo zimetokana na mauzo ya korosho kwa bei ya kilo moja iliyokuwa ikiuzwa kwa zaidi ya Shilingi 2,100.
John Kasembe ana taarifa zaidi.
Mhariri @moseskwindi
#AzamTVUpdates #UTV108 #AdhuhuriLive