Wavuvi katika Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma wamedai kuwa takribani mashine 50 za uvuvi zimeporwa ziwani humo kuanzia Januari hadi sasa, jambo lililofanya wavuvi hao kumuombaMkuu wa Mkoa huo, Simon Sirro kuweka doria ya Jeshi la Wananchi ili kukomesha matukio hayo.

#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *