Sudan Kusini yamshtaki Makamu Rais Riek Machar kwa makosa ya mauaji na uhaini

Makamu wa Rais wa Sudan Kusini, Riek Machar, ameshtakiwa kwa makosa ya mauaji, uhaini na uhalifu dhidi ya binadamu kwa madai ya kuhusika katika mashambulizi yaliyofanywa na kundi la ‘White Army’ dhidi ya vikosi vya serikali mwezi Machi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *