Mahakama moja mjini Johannesburg Afrika Kusini imewahukumu raia saba wa China kifungo cha miaka 20 jela kila mmoja kia mmoja baada ya kuwapata na hatia ya magendo ya binadamu. Raia hao wa China wamekutwa na hatia ya kuwasafirisha watu kutoka Malawi na kuwalazimisha kufanya kazi katika kiwanda kimoja nchini Afrika Kusini.
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
