SK2 / S02S12 Septemba 2025

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linatarajiwa kupiga kura leo kuamua iwapo litaunga mkono azimio kuhusu suluhisho la mataifa mawili ya Israel na Palestina bila kulihusisha kundi la Hamas+++Mauaji ya raia 71 yaliyofanywa na kundi la waasi wa ADF Jumatatu wiki hii Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yameibua hisia mseto za hofu.

https://p.dw.com/p/50OUh

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *