Wanajeshi wanaofuata siasa kali wafukuzwa Bundeswehr
Tayari jeshi la Ujerumani limeshawafukuza wanajeshi 90 baada ya kuthibitishwa kuwa na misimamo ya siasa kali za mrengo wa kulia mnamo mwaka jana. Wizara ya ulinzi Ujerumani, ambayo ilikuwa ikijibu…