Nchi za Ulaya kujadili na Iran kuhusu mpango wa Nyuklia
Wajumbe kutoka mataifa ya Ulaya ya kile kinachojulikana kama E3 wanajiandaa leo Jumanne kwa mazungumzo ya dakika za mwisho pamoja na Iran mjini Geneva. Wajumbe kutoka Uingereza, Ufaransa na Ujerumani…