Jeshi la Urusi ladai kuteka kijiji kingine cha Ukraine
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imeesema vikosi vyake vimeteka eneo la Zaporizke, ambako hivi karibuni wanajeshi wa Urusi waliingia kwa mara ya kwanza tangu vita vilipozuka miaka mitatu na nusu…
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imeesema vikosi vyake vimeteka eneo la Zaporizke, ambako hivi karibuni wanajeshi wa Urusi waliingia kwa mara ya kwanza tangu vita vilipozuka miaka mitatu na nusu…
Kituo cha televisheni cha taifa kimesema duru hiyo mpya ya mazungumzo ya ngazi ya manaibu waziri itahusisha mataifa hayo matatu yaliyosaini makubaliano ya Nyuklia ya 2015, pamoja na Umoja wa…
Mashambulizi ya Israel katika hospitali ya al Nasser huko Gaza leo Jumatatu yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 15 wakiwemo waandishi wa habari watatu. Mpiga picha Hussam al-Masri, mmoja wa waandishi…
Kwa muda mrefu mtaa wa Mitte jijini Berlin umetaka kubadilisha jina la barabara yake Mohrenstrasse kwa sababu kihistoria jina ‘Mohr‘ lilitumika kuwatambulisha watu wenye asili ya Afrika lakini kwa njia…
Mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yamechukua sura mpya baada ya waasi wa M23 kuishutumu serikali kwa kutumia mamluki wa kigeni kushambulia maeneo wanayoyadhibiti, ikiwemo eneo la makazi…
Maafisa wa Urusi walisema vituo kadhaa vya umeme na nishati vililengwa katika mashambulizi ya usiku kucha Jumamosi. Moto kwenye kinu cha nyuklia ulizimwa haraka bila majeruhi wowote kuripotiwa. Licha ya…
Msemaji wa Wizara ya Afya inayoendeshwa na Wahouthi amesema shambulizi la Israel liliwaua watu sita na kuwajeruhi 86. Mashambulizi hayo ndio ya karibuni kabisa katika zaidi ya mwaka mmoja wa…
Ukraine iliadhimisha Siku ya UhuruJumapili katika tukio lililohudhuriwa na maafisa wa Magharibi akiwemo balozi wa Marekani Keith Kellogg. Zelensky anasema lazima shinikizo liendelee kutolewa kwa Urusi ili kumaliza vita, kwa…
Kiasi ya watu 20,000 walihamishwa kutoka maeneo yanayoweza kuwa hatari kabla ya dhoruba hiyo. Boti za wavuvi zilirejea bandarini na zaidi ya wafanyakazi 21,000 wakahamia maeneo salama. Kimbunga Kajiki kilitarajiwa…
Klabu hiyo iliyopandishwa daraja msimu huu ilitumia muda mwingi kujilinda zaidi katika mchezo wa jana. Hamburg ilikuwa klabu ya mwisho muasisi wa Bundesliga iliyocheza kila msimu tangu ligi kuu ilipoanzishwa…