Sudan: Watu 158 wafariki kwa kipindupindu huko Darfur
Wizara ya afya katika jimbo hilo linalodhibitiwa na wanamgambo wa RSF imesema vifo hivyo vimeripotiwa kuanzia mwishoni mwa mwezi Mei mwaka huu. Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limesema…