Huyu ndiye Dimitar Pantev, kocha mpya Simba
Ndani ya muda mfupi kuanzia sasa, Simba itamtambulisha Dimitar Pantev kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo akirithi mikoba iliyoachwa wazi na Fadlu Davids aliyetimkia Raja Casablanca ya Morocco.
Ndani ya muda mfupi kuanzia sasa, Simba itamtambulisha Dimitar Pantev kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo akirithi mikoba iliyoachwa wazi na Fadlu Davids aliyetimkia Raja Casablanca ya Morocco.
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
BAADA ya kuwepo kwa taarifa za Kocha Mkuu wa Gaborone United, Dimitar Pantev kufikia makubaliano ya kusaini mkataba wa kuiongoza Simba, mapema leo asubuhi ameaga rasmi.
BODI ya Ligi Kuu Zanzibar, imeitoza Junguni United faini ya Sh200,000 kwa kuchelewa uwanjani kisha kufika bila ya kuwa na jezi na kusababisha mwamuzi kuvunja mechi.
TIMU ya Fufuni kutoka Pemba, imekataa unyonge baada ya kufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Kipanga katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), mechi ikichezwa Oktoba 2, 2025 kwenye…
“Sasa ni kitu gani kilichokufanya ujitokeze licha ya kujua kuwa umeua” “Nimejitokeza ili niwaeleze ukweli polisi. Nilikuwa ninajua kwamba polisi walikuwa hawajui kuwa watu waliokuwa wananyongwa walishahukumiwa kunyongwa ila walitoroshwa…
Alichelewa sana humo chumbani mpaka nikainuka na kumfuata. Nikamkuta bado akijitazama kwenye kioo. “Twenzetu, umeshapendeza,” nikamwambia. Alikuwa amevaa suruali ya jeans, t-shirt na viatu vya mchuchumio.
MABAHARIA wa KMKM, wamefanikiwa kuvuna Sh10.5 millioni kutoka kwa Mkuu wa Kikosi cha Kuzuia Magendo Zanzibar (KMKM), Azana Hassan Msingiri ikiwa sehemu ya kuipongeza timu hiyo kwa kuingia hatua ya…
MECHI ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) iliyochezwa leo Oktoba 1, 2025 kati ya JKU na KVZ kwenye Uwanja wa Mao A mjini Unguja, imemalizika kwa sare ya mabao 2-2.