Kenya: London yakubali kufidia waathiriwa wa moto kufuatia mazoezi ya kijeshi ya Uingereza
Miaka minne baada ya moto kuzuka katika Hifadhi ya Kibinafsi ya Lolldaiga kufuatia ajali wakati wa mafunzo na Jeshi la Uingereza, ambalo lina kambi katika eneo hilo, Uingereza imekubali kulipa…