Kenya: London yakubali kufidia waathiriwa wa moto kufuatia mazoezi ya kijeshi ya Uingereza
Miaka minne baada ya moto kuzuka katika Hifadhi ya Kibinafsi ya Lolldaiga kufuatia ajali wakati wa mafunzo na Jeshi la Uingereza, ambalo lina kambi katika eneo hilo, Uingereza imekubali kulipa…
Burkina Faso: Serikali yahitimisha mradi wa kudhibiti Malaria (Target Malaria)
Mradi wa kudhibiti Malaria (Target Malaria) uliozinduliwa mwaka 2012 nchini Burkina Faso ulilenga kurekebisha vinasaba vya mbu wa kiume ili kuwafanya washindwe kuzaa katika jaribio la kupunguza idadi ya mbu…
Eneo la Uhispania la Ceuta linakabiliwa na wimbi jipya la wahamiaji kutoka Morocco
Tangu mwishoni mwa mwezi wa Julai, eneo la Uhispania limeshuhudia ongezeko kubwa la idadi ya wahamiaji haramu wanaowasili katika eneo lake. Miongoni mwao, wale wanajaribu bahati yao kwa kuogelea ni…
Burundi: Meja Jenerali Bertin Gahungu ashikiliwa na idara ya usalama
Nchini Burundi, Meja Jenerali Bertin Gahungu anashikiliwa na idara za usalama, mamlaka imetangaza. Afisa mkuu wa usalama katika utawala na mkuu wa zamani wa idara ya kijasusi nchini humo, anashtumiwa…
#MICHEZO:Bondia Kutoka Mkoa wa Tabora Abdul Zugo, ameibuka mshindi kwa TKO katika pambano la Ubingwa wa kuwania mkanda wa Dunia …
#MICHEZO:Bondia Kutoka Mkoa wa Tabora Abdul Zugo, ameibuka mshindi kwa TKO katika pambano la Ubingwa wa kuwania mkanda wa Dunia wa WPBF uzito wa kilo 63 Super right weight, dhidi…
#MAGAZETI:CCM YAANIKA SAFU YAKE / KIUNGO APEPERUKA DAR
#MAGAZETI:CCM YAANIKA SAFU YAKE / KIUNGO APEPERUKA DAR
#SWALILAKIPIMAJOTO: Hamasa ya uchangiaji wa damu nyakati za matukio mbalimbali.Je, ifanywe kuwa endelevu kufanikisha upatikanaji…
#SWALILAKIPIMAJOTO: Hamasa ya uchangiaji wa damu nyakati za matukio mbalimbali.Je, ifanywe kuwa endelevu kufanikisha upatikanaji wa damu wakati wote?
🔴KUMEKUCHA:WIKI YA TIBA ASILI KWA MWAFRIKA…..AGOSTI 24, 2025
🔴KUMEKUCHA:WIKI YA TIBA ASILI KWA MWAFRIKA…..AGOSTI 24, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 24, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 24, 2025
Mzozo wa Israel na Hamas
Israel ilitangaza vita dhidi ya Hamas baada ya kundi hilo kufanya shambulizi la kigaidi dhidi ya Israel tarehe 7 Oktoba, lililouwa watu wapatao 1200. Maelfu ya Wapalestina wameuawa katika mapigano…
Matangazo ya Jioni 24.08.2025
DIRA.BZ24.08.202524 Agosti 2025 Watu kadhaa wauawa Gaza kufuatia mashambulizi ya Israel++++Urusi: Nchi za Ulaya zinalenga “kuzuia” mchakato wa amani++++Jeshi la anga la Nigeria lauua magaidi 35 wa Boko Haram++++Khamenei: Raia…
Matangazo ya Mchana 24.08.2025
DW Kiswahili24.08.202524 Agosti 2025 Ukraine yaadhimisha miaka 34 ya uhuru wake++++Netanyahu akabiliwa na shinikizo la kumaliza vita huko Gaza+++Sudan: Watu 158 wafariki kwa kipindupindu huko Darfur++++Korea Kaskazini yafanya jaribio la…
#HABARI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Daniel Chongolo kugombea Ubunge katika jimbo la Makambako mkoani Njombe
#HABARI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Daniel Chongolo kugombea Ubunge katika jimbo la Makambako mkoani Njombe. Hayo yameelezwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla,…
#HABARI: Ester Matiko kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Tarime Mjini
#HABARI: Ester Matiko kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Tarime Mjini. Hayo yameelezwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla, wakati akitangaza majina ya…
#HABARI: Ester Bulaya ameteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini
#HABARI: Ester Bulaya ameteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla ameeleza haya Jijini Dodoma. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania #Follow…
#HABAI: Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakati wa Serikali ya Awamu ya Tano, Kangi Lugola ameteuliwa na Chama Cha Map…
#HABAI: Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakati wa Serikali ya Awamu ya Tano, Kangi Lugola ameteuliwa na Chama Cha Mapinduzi kugombea Ubunge Jimbo la Mwibara. #ITVDigital…
#HABARI: Miili 4 zaidi inayoaminika kuwa ya wafuasi wa Kanisa la Mhubiri aliyegerezani Paul Mackenzie, imefukuliwa kutoka eneo l…
#HABARI: Miili 4 zaidi inayoaminika kuwa ya wafuasi wa Kanisa la Mhubiri aliyegerezani Paul Mackenzie, imefukuliwa kutoka eneo la Kwabinzaro, Kaunti ya Kilifi, na kufikisha jumla ya miili iliyopatikana tangu…
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 23, 2025 – CCM KWENYE MCHUJO WA MAJINA YA WALIOOMBA KUTEULIWA DODOMA
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 23, 2025 – CCM KWENYE MCHUJO WA MAJINA YA WALIOOMBA KUTEULIWA DODOMA
#HABARI: Bodi ya Korosho Tanzania(CBT) imetoa tuzo ya Muandishi Bora wa Taarifa za Korosho kundi la Runinga, kwa mwandishi wa ha…
#HABARI: Bodi ya Korosho Tanzania(CBT) imetoa tuzo ya Muandishi Bora wa Taarifa za Korosho kundi la Runinga, kwa mwandishi wa habari wa ITV/Radio One mkoa wa indi, Bi. Fatuma Maumba.…
Kwa haya na Mengine mengi usikose kuungana nasi ifikapo Saa mbili kamili usiku
Kwa haya na Mengine mengi usikose kuungana nasi ifikapo Saa mbili kamili usiku. . Unaweza pia kutazama Taarifa yetu ya Habari kupitia Youtube na Facebook #ITVTanzania . Usisahau Ku-Subscribe ili…
24 wauwawa Gaza-njaa yahofiwa kutanua janga la kibinaadamu
Hali hiyo imetokea wakati baa la njaa lililoripotiwa huko, likizidi kutoa shinikizo kwa Israel kuachana na vita vyake, ikiwa ni miezi 22 tangu ilipoanza kulishambulia kundi la Hamas. Waziri wa…
Zelensky: Urusi kushinikizwa kufikia amani na Ukraine
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amesema mataifa ya kusini mwa dunia yanapaswa kuishinikiza Urusi kuelekea amani katika vita vyake na Ukraine, akisisitiza yanapaswa kusaidia kumleta Putin katika meza ya mazungumzo.
Japan na Korea Kusini wakubaliana kuimarisha mahusiano yao
Mivutano kuhusu umiliki wa maeneo, Japan kuwafanyisha kazi ngumu raia wa Korea Kusini wakati ilipoikalia rasi ya Korea kwa takriban muongo mmoja ni miongoni mwa mambo yaliyosababisha mikwaruzano baina ya…
Mchakato wa uchaguzi wa bunge waahirishwa Syria
Tangazo hili limetolewa na tume ya uchaguzi nchini humo. Uchaguzi huo wa bunge ulikuwa umepangiwa kufanyika tarehe 15 hadi 20 ya mwezi Ujao. Hakuna tarehe mpa iliyotolewa ya uchaguzi huo…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA RUVUMA: AGOSTI 23, 2025 -WAKULIMA WASHAURIWA KUTUMIA MBEGU BORA
🔴HAPA NA PALE KUTOKA RUVUMA: AGOSTI 23, 2025 -WAKULIMA WASHAURIWA KUTUMIA MBEGU BORA
#HABARI:Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imekanusha taarifa zinazodai kuwa mfumo wake wa uchaguzi umeunganishwa na mifumo y…
#HABARI:Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imekanusha taarifa zinazodai kuwa mfumo wake wa uchaguzi umeunganishwa na mifumo ya NIDA ama chama cha siasa na kwamba uchaguzi tayari umekamilika. Mkurugenzi…
#HABARI: Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama, Frola Sangiwa, ameeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu ongezeko la …
#HABARI: Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama, Frola Sangiwa, ameeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu ongezeko la usafirishaji haramu wa binadamu, hasa watoto kutoka nchi jirani wanaofika kwa lengo…
Photos from ITV Tanzania’s post
#HABARI: Wakili na Mwanaharakati wa Haki za kijamii, Mwanaisha Mndeme, amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni, kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, zoezi hilo limefanyika katika Ofisi za…
#HABARI: Baadhi ya Wakulima wanaojishughulisha na Kilimo cha Tumbaku katika Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, wameishukuru serik…
#HABARI: Baadhi ya Wakulima wanaojishughulisha na Kilimo cha Tumbaku katika Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, wameishukuru serikali kwa kuweka mazingira wezeshi kwa wanunuzi wa zao hilo ambapo siku za nyuma…
#HABARI: Waziri wa TAMISEMI Mhe
#HABARI: Waziri wa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amewagiza Wakurugenzi wa Halmashauri nchini, kuimarisha vitengo vya michezo kwa kuhakikisha watumishi wa Umma wanashiriki kimakamilifu kwenye Michezo mbalimbali ambayo itawezesha kuimarisha Afya,…
IPC yatangaza baa la njaa katika Ukanda wa Gaza
Hali hiyo pia huenda ikawa mbaya zaidi kama misaada ya kitu haitoruhusiwa kuingia kwa wingi katika ukanda huo ambao ni makazi kwa maelfu ya wapalestina. Njaa inahofiwa kusambaa katika sehemu…
Waendesha mashitaka wa Kongo wataka Kabila ahukumiwe kifo
Kabila anashitakiwa bila kuwepo mahakamani kwa makosa hayo na mengine ya uhalifu wa kivita, yanayohusishwa na uongozi wake wa takriban miaka 20 katika taifa hilo la Afrika Mashariki. Kabila aliyoiongoza…
#VIDEO: Taasisi ya Kibao Salama Foundation imeanzisha maktaba mtandao ambayo inajihusisha na kutoa elimu mbalimbali kwa jamii ik…
#VIDEO: Taasisi ya Kibao Salama Foundation imeanzisha maktaba mtandao ambayo inajihusisha na kutoa elimu mbalimbali kwa jamii ikiwemo elimu dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya, elimu ya ujasiriamali, hayo…
Guinea yafungia kwa muda vyama vitatu vya kisiasa
Hii ikiwa ni kulingana na agizo lililoonekana na shirika la habari la AFP hii leo Jumamosi. Hatua hiyo inajiri baada ya vyama vikuu na mashirika ya kiraia katika taifa hilo…
Rais wa Korea Kusini Lee Myung yuko Japan kwa ziara rasmi
Lee pia anatarajiwa kukutana na rais wa Marekani Donald Trump mjini Washington siku ya Jumatatu wiki Ijayo. Katika ziara yake ya kwanza rasmi Japan, Lee atakutana na Waziri Mkuu Shigeru…
#HABARI: Watu wasiojulikana wamemshambulia kwa panga aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, Bw
#HABARI: Watu wasiojulikana wamemshambulia kwa panga aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, Bw. Yusto Mapande, wakati akiingia nyumbani kwake, ambapo katika tukio hilo, Mapande alijeruhiwa mkononi na mguuni…
Uganda yawinda nusu fainali kwa kumenyana na Senegal
Uganda Cranes wanaingia katika mechi hiyo wakiwa na matumaini makubwa baada ya kuongoza Kundi C na kutinga hatua ya mtoano ya CHAN kwa mara ya kwanza katika historia yao. Uganda…
#HABARI: Wakazi 3,020 wa Kijiji cha Kenyamonta na Vijiji jirani vya Kata ya Kenyamonta, wanatarajia kuanza kupata huduma ya afya…
#HABARI: Wakazi 3,020 wa Kijiji cha Kenyamonta na Vijiji jirani vya Kata ya Kenyamonta, wanatarajia kuanza kupata huduma ya afya baada ya kuanza ujenzi wa Zahanati ya Kenyamonta inayogharimu zaidi…
Mwaendesha mashtaka ataka Joseph Kabila anyongwe
Waendesha mashtaka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewasilisha maombi kutaka Joseph Kabila ahukumiwe adhabu ya kifo kwa makosa ya uhaini katika kesi inayomkabili mahakamani. Jenerali Lucien René Likulia aliyemwakilisha…
Waendesha mashitaka Kongo wataka Kabila ahukumiwe kifo
Waendesha mashtaka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewasilisha maombi kutaka Joseph Kabila ahukumiwe adhabu ya kifo kwa makosa ya uhaini katika kesi inayomkabili mahakamani. Jenerali Lucien René Likulia aliyemwakilisha…
#HABARI: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Kamishna msaidizi Mwandanizi wa Polisi (SACP) Marco G
#HABARI: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Kamishna msaidizi Mwandanizi wa Polisi (SACP) Marco G. Chilya, amewataka watendajiwa wa Dawati la Jinsia na watoto Mkoani Ruvuma kuendelea kujikita katika utoaji…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 23, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 23, 2025
🔴KUMEKUCHA: ……AGOSTI 23, 2025 -UMUHIMU WA STADI ZA MAISHA
🔴KUMEKUCHA: ……AGOSTI 23, 2025 -UMUHIMU WA STADI ZA MAISHA
🔴MAGAZETI, AGOSTI 23, 2025 -MBIVU, MBICHI CCM WALIOPENYA, KUACHWA UBUNGE KUJULIKANA
🔴MAGAZETI, AGOSTI 23, 2025 -MBIVU, MBICHI CCM WALIOPENYA, KUACHWA UBUNGE KUJULIKANA
#SWALILAKIPIMAJOTO: Wanaowauzia waraibu dawa tiba zenye kibali maalum kama mbadala wa dawa za kulevya
#SWALILAKIPIMAJOTO: Wanaowauzia waraibu dawa tiba zenye kibali maalum kama mbadala wa dawa za kulevya. Je, waadhibiwe kama wahalifu wengine wa biashara hiyo?
Matangazo ya Mchana: 23.08.2025
23.08.202523 Agosti 2025 Shirika la tathimini ya chakula duniani IPC yatangaza uwepo wa baa la njaa Gaza. Waendesha mashitaka wa Kongo wataka Joseph Kabila ahukumiwe kifo kwa makosa ya uhaini.…
Matangazo ya Jioni: 23.08.2025
23.08.202523 Agosti 2025 Watu 24 wauawa Gaza huku baa la njaa likihofiwa kuutanua zaidi mzozo wa kibinadamu. Rais wa Ukraine Volodymir Zelensky ameyataka mataifa ya Africa, Asia, Latin America, na…