DRC: Ujumbe wa serikali ya Kinshasa unatarajiwa mjini UviraDRC: Ujumbe wa serikali ya Kinshasa unatarajiwa mjini Uvira

Ujumbe mkubwa wa serikali kutoka jijini Kinshasa, unatarajiwa mjini Uvira, Mashariki mwa Jamhuri ya  Kidemokrasia, baada ya kushuhudiwa kwa maandamano yenye vurugu kwa siku kadhaa zilizopita, yaliyopangwa na mashirika ya kiraia na wapiganaji wa Wazalendo, kumkata Jenerali Olivier Gasita kuongoza usalama katika eneo hilo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *