DRC: Hatima ya Joseph Kabila kujulikana leo Jumanne
Mahakama Kuu ya Kijeshi ya Kinshasa inatarajiwa kutoa uamuzi wake leo Jumanne, Septemba 30, katika kesi inayomkabili rais wa zamani Joseph Kabila. Awali hukumu hiyo ambayio ilipangwa kutolewa Septemba 12,…