Mgombea urais wa UPDP, Twalib Kadege amendelea na kampeni zake licha ya mvua, akiwahimiza wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba 29 ili kutumia haki yao ya kimsingi ya kikatiba.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Mgombea urais wa UPDP, Twalib Kadege amendelea na kampeni zake licha ya mvua, akiwahimiza wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba 29 ili kutumia haki yao ya kimsingi ya kikatiba.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi