Msongamano katika mazishi ya Raila wasababisha watu kadhaa kujeruhiwa
Watu kumi na nane wamejeruhiwa wakati wa msongamano uliojitokeza katika uwanja wa Nyayo wakati wa mazishi ya kitaifa ya Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga, aliyefariki dunia wiki hii India akiwa na umri wa miaka 80.