22.10.202522 Oktoba 2025 Mkutano uliokuwa ukitarajiwa huko Budapest kati ya Trump na Putin wasitishwa. Marekani imesema ina matumaini mpango wa amani Gaza utaendelea kutekelezwa. Waasi wa M23 wapora dhahabu zenye thamani ya dola milioni 70 mashariki mwa Kongo. https://p.dw.com/p/52NwJ Post navigation Watu zaidi ya milioni moja warejea katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum Amnesty: Uganda ishinikizwe kufuta sheria dhidi ya ushoga