Alhamisi, 18 Septemba, 2025
Leo ni Alhamisi tarehe 25 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na Septemba 18, 2025.
Leo ni Alhamisi tarehe 25 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na Septemba 18, 2025.
Wabunge watano wa Uingereza wamemwandikia barua waziri wao wa mambo ya nje Yvette Cooper wakiitaka serikali ya London "ifuatilie kwa dharura uingiliaji kati wa kijeshi utakaoongozwa na Umoja wa Mataifa"…
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametoa wito kwa viongozi wa dunia “kuwa makini na kutekeleza ahadi” wanapowasili jijini New York kwa ajili ya wiki ya ngazi ya…
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV amesema Wapalestina wanaishi katika "mazingira yasiyokubalika" huku wakihamishwa kwa nguvu katika Mji wa Ghaza, wakati huu wa mashambulizi makubwa yanayoendelea kufanywa na…
Kamati ya Umoja wa Mataifa ya Kutokomeza Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (CEDAW) imesema, serikali ya Nigeria inawajibika kwa ukiukaji mkubwa na wa kimfumo wa haki za wanawake na wasichana katikati…
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameipongeza timu ya taifa ya Iran ya mchezo wa miereka ya freestyle kwa kutwaa taji la ubingwa wa dunia katika…
Serikali ya Yemen imekemea vikali viongozi wa Kiarabu na Kiislamu kwa kushindwa kuchukua hatua za kivitendo katika kuunga mkono Palestina na kukabiliana na jinai za utawala wa Kizayuni, ikisisitiza kuwa…