Pezeshkian: Ushirikiano wa “mafanikio” wa Iran na Russia unaashiria mwisho wa zama za uchukuaji hatua za upande mmoja
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kigezo "kilichofanikiwa" cha ushirikiano kati ya nchi huru, zikiwemo na Iran na Russia, utathibitisha kwamba zama za uchukuaji hatua za…