Roman Folz aletewa msaidizi, aanza kazi
Klabu ya Yanga imemtangaza rasmi, Patrick Mabedi kuwa Kocha Msaidizi wa timu hiyo, akijiunga na benchi la ufundi la Wananchi akiwa na uzoefu mkubwa katika soka la Afrika. Mabedi, raia…
Klabu ya Yanga imemtangaza rasmi, Patrick Mabedi kuwa Kocha Msaidizi wa timu hiyo, akijiunga na benchi la ufundi la Wananchi akiwa na uzoefu mkubwa katika soka la Afrika. Mabedi, raia…
BAADA ya kupoteza mechi iliyopita dhidi ya Zambia kuwania nafasi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026, Timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ itashuka dimbani leo Jumanne kucheza mechi ya kimataifa ya…
KIPA wa Mbeya City, Beno Kakolanya amesema katika mechi tatu walizocheza zimewapa picha ya ushindani mkali watakaokabiliana nao msimu huu, hivyo wanajipanga kuhakikisha hawatoki katika mstari wa malengo yao.
KOCHA Mkuu wa Stand United ‘Chama la Wana’ ya Shinyanga, Idd Cheche amesema kukosa umakini eneo la ulinzi na utumiaji sahihi wa nafasi za kufunga kimewaangusha katika mechi ya kwanza…
KOCHA wa Mbuni FC, Leonard Budeba, amesema maandalizi makini na umakini wa wachezaji wake katika kufuata maelekezo ndiyo siri ya ushindi mnono wa mabao 4-0 walioupata dhidi ya Mbeya Kwanza…
DODOMA Jiji ipo hatua za mwisho kumchukua kocha Aman Josiah ili kuziba pengo la Vincent Mashami raia wa Rwanda wanayetaka kuachana naye ikitajwa sababu ya kukosa vigezo vya kukaa benchi…
Mpaka hapa ninaposimulia mkasa huu, Hamisa ameshanizalia watoto watatu, na kwa mawazo yangu watoto hao wanatosha kabisa. Nataka tuwasomeshe wapate elimu bora, nikiamini kuwa mmojawapo anaweza kuja kurithi kazi yangu,…
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…