Skip to content
  • Wed. Oct 22nd, 2025

LTV TANZANIA

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY

Latest Post

Uwanja wa ndege wa Khartoum, Sudan, wapokea ndege ya kwanza ya baada ya zaidi ya miaka miwili Chama cha CHADEMA charipoti kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho na Polisi Fountain Gate yaikomalia Coastal Mkwakwani Wydad mpya ya Ziyech, Aziz Ki balaa jingine Baada ya kupigwa sita, Conte aponda usajili Napoli
BBC LIVE SOMA

Uwanja wa ndege wa Khartoum, Sudan, wapokea ndege ya kwanza ya baada ya zaidi ya miaka miwili

October 22, 2025 mjombazecoder
BBC LIVE SOMA

Chama cha CHADEMA charipoti kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho na Polisi

October 22, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Fountain Gate yaikomalia Coastal Mkwakwani

October 22, 2025 mjombazecoder
MWANANCHI

Wydad mpya ya Ziyech, Aziz Ki balaa jingine

October 22, 2025 mjombazecoder
MWANANCHI

Baada ya kupigwa sita, Conte aponda usajili Napoli

October 22, 2025 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Uwanja wa ndege wa Khartoum, Sudan, wapokea ndege ya kwanza ya baada ya zaidi ya miaka miwili
BBC LIVE SOMA
Uwanja wa ndege wa Khartoum, Sudan, wapokea ndege ya kwanza ya baada ya zaidi ya miaka miwili
Chama cha CHADEMA charipoti kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho na Polisi
BBC LIVE SOMA
Chama cha CHADEMA charipoti kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho na Polisi
Fountain Gate yaikomalia Coastal Mkwakwani
MICHEZO
Fountain Gate yaikomalia Coastal Mkwakwani
Wydad mpya ya Ziyech, Aziz Ki balaa jingine
MWANANCHI
Wydad mpya ya Ziyech, Aziz Ki balaa jingine
aarifa Kuu Za App
Uncategorized
aarifa Kuu Za App
Chama cha CHADEMA charipoti kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho na Polisi
BBC LIVE SOMA
Chama cha CHADEMA charipoti kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho na Polisi
MICHEZO
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uwanja wa ndege wa Khartoum, Sudan, wapokea ndege ya kwanza ya baada ya zaidi ya miaka miwili
BBC LIVE SOMA
Uwanja wa ndege wa Khartoum, Sudan, wapokea ndege ya kwanza ya baada ya zaidi ya miaka miwili
Chama cha CHADEMA charipoti kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho na Polisi
BBC LIVE SOMA
Chama cha CHADEMA charipoti kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho na Polisi
Fountain Gate yaikomalia Coastal Mkwakwani
MICHEZO
Fountain Gate yaikomalia Coastal Mkwakwani
Wydad mpya ya Ziyech, Aziz Ki balaa jingine
MWANANCHI
Wydad mpya ya Ziyech, Aziz Ki balaa jingine
HABARI ZA KIPEKEE

Ijumaa, 19 Septemba, 2025

September 19, 2025 mjombazecoder

Leo ni Ijumaa tarehe 26 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na Septemba 19, 2025 Miladia.

HABARI ZA KIPEKEE

Ushirikiano wa Iran na Saudi Arabia kwenye njia ya kusaidiana na utaratibu mpya wa kikanda

September 18, 2025 mjombazecoder

Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mohammed bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia wamekutana mjini…

HABARI ZA KIPEKEE

Pezeshkian: Ushirikiano wa “mafanikio” wa Iran na Russia unaashiria mwisho wa zama za uchukuaji hatua za upande mmoja

September 18, 2025 mjombazecoder

Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kigezo "kilichofanikiwa" cha ushirikiano kati ya nchi huru, zikiwemo na Iran na Russia, utathibitisha kwamba zama za uchukuaji hatua za…

HABARI ZA KIPEKEE

Askari wanne wa utawala wa kizayuni waangamizwa, wanane wajeruhiwa kusini mwa Ghaza

September 18, 2025 mjombazecoder

Vyanzo vya habari vimeripoti kuwa wanajeshi wanne wa utawala wa kizayuni wa Israel wameangamizwa na wengine wanane wamejeruhiwa katika mripuko wa bomu lililotegwa ardhini kusini mwa Ukanda wa Ghaza.

HABARI ZA KIPEKEE

Mayahudi wa Othodoksi waanza kuandamana New York dhidi ya Netanyahu kabla hajaelekea UN

September 18, 2025 mjombazecoder

Mamia ya Wayahudi wa madhehebu ya Othodoksi wamefanya maandamano katika jiji la New York kupinga ushiriki wa waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu katika mikutano ya…

HABARI ZA KIPEKEE

Balozi wa Marekani Israel: Israel ndiye mshirika wetu pekee wa kweli katika eneo la Mashariki ya Kati

September 18, 2025 mjombazecoder

Balozi wa Marekani katika utawala wa kizayuni wa Israel, Mike Huckabee amesema, 'pamoja na Washington kuwa na washirika na marafiki kadhaa katika eneo la Mashariki ya Kati, "Israel ndiye mshirika…

HABARI ZA KIPEKEE

Uingereza inamngojea Trump amalize ziara yake ndipo itangaze kulitambua Dola la Palestina

September 18, 2025 mjombazecoder

Uingereza itaitambua rasmi Palestina kama Dola mwishoni mwa wiki hii baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kuhitimisha ziara yake ya kiserikali nchini humo. Hayo yamefichuliwa na gazeti la The…

HABARI ZA KIPEKEE

Financial Times: EU inapanga kuzitumia yuro bilioni 170 fedha za Russia inazozishikilia

September 18, 2025 mjombazecoder

Gazeti la Financial Times limeripoti kuwa Umoja wa Ulaya (EU) umeamua kutekeleza mpango wa kuzitumia yuro bilioni 170 milki za Russia inazozishikilia kurudisha "mikopo ya fidia" kwa Ukraine.

BBC NEWS TANZANIA

Je, nchi za Kiislamu zinaunda jeshi la pamoja dhidi ya Israel?

September 18, 2025 mjombazecoder

Wazo la kuunda muungano wa kijeshi kama NATO kati ya nchi za Kiarabu limekuwepo kwa muda mrefu, lakini wataalam hanatilia shaka utekelezwaji wake.

HABARI ZA KIPEKEE

Araqchi: Nchi za Ulaya zinapasa kuonyesha nia ya dhati na ya kweli katika diplomasia

September 18, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araqchi jana amezungumza kwa simu na Mawaziri wenzake wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Ujerumani na Uingereza na pia na mwanadiplomasia wa…

HABARI ZA KIPEKEE

Eslami: Vitisho vya maadui vinaendelea; hali ya kuaminiana na IAEA inapasa kujengwa upya

September 18, 2025 mjombazecoder

Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema vitisho kutoka kwa maadui wa Jamhuri ya Kiislamu vinaendelea tangu kujiri mashambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya vituo vya…

HABARI ZA KIPEKEE

Israel yashadidisha mauaji dhidi ya wakazi wa Gaza; mashinikizo ya kimataifa yaongezeka dhidi yake

September 18, 2025 mjombazecoder

Idadi ya vifo vya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza inaendelea kuongezeka huku mashambulizi ya kijeshi na mauaji ya kimbari ya Israel yakiingia mwaka wa pili sasa, na hivyo kuzidisha ukosoaji…

HABARI ZA KIPEKEE

UNHCR: Karibu wakimbizi 61 wa Sudan wamefariki dunia katika ajali ya boti Libya

September 18, 2025 mjombazecoder

Boti iliyokuwa ikiwasafirisha wahamiaji 74 ilipatwa na maafa katika pwani ya Libya, na kusababisha vifo vya wahamiaji 61. Taarifa hii imetolewa na Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa(…

HABARI ZA KIPEKEE

Maelfu waandamana London kupinga ziara ya Trump nchini Uingereza

September 18, 2025 mjombazecoder

Maelfu ya wakazi wa jiji la London wameandamana kupinga ziara ya kiserikali ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Uingereza na kumtaja kama kiongozi mbaguzi na mpenda mabavu. Wafanya maandamano…

HABARI ZA KIPEKEE

Jenerali: Uwezo wa Iran wa kivita unawazuia maadui kuanzisha mashambulizi mapya

September 18, 2025 mjombazecoder

Mkuu wa Majeshi ya Iran, Meja Jenerali Abdolrahim Mousavi, amepongeza kuimarika kwa uwezo wa kujihami wa taifa , akisisitiza kuwa utayari wa Iran wa kivita umezuia maadui kuanzisha duru mpya…

HABARI ZA KIPEKEE

Iran yayataja kuwa ya kipuuzi madai ya Marekani kuhusu mpango wake wa makombora

September 18, 2025 mjombazecoder

Iran imetaja kuwa ya kipuuzi madai ya Marekani kuhusu ustawi wake katika sekta ya makombora, ikielezea mpango huo kuwa wa kujihami dhidi ya mashambulizi ya Marekani na Israel.

BBC NEWS TANZANIA

“Sijaishi na mume wangu kwa miaka 15, lakini bado tupo kwenye ndoa yenye furaha”

September 18, 2025 mjombazecoder

"Inaweza kuwasaidia watu kujisikia kuwa, ingawa nimeoa au kuolewa, bado nina nafasi yangu, maisha yangu, na ninakutana na mwenzi wangu kwa wakati tunaokubaliana wote,"Mtaalam asema.

HABARI ZA KIPEKEE

Alhamisi, 18 Septemba, 2025

September 18, 2025 mjombazecoder

Leo ni Alhamisi tarehe 25 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na Septemba 18, 2025.

HABARI ZA KIPEKEE

Wabunge wa UK: Vikosi vya kijeshi vitakavyoongozwa na UN vipelekwe Ghaza kuzuia mauaji ya kimbari

September 18, 2025 mjombazecoder

Wabunge watano wa Uingereza wamemwandikia barua waziri wao wa mambo ya nje Yvette Cooper wakiitaka serikali ya London "ifuatilie kwa dharura uingiliaji kati wa kijeshi utakaoongozwa na Umoja wa Mataifa"…

HABARI ZA KIPEKEE

Katibu Mkuu wa UN: Ulimwengu umegawanyika kimataifa wakati huu wa kufanyika UNGA80

September 18, 2025 mjombazecoder

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametoa wito kwa viongozi wa dunia “kuwa makini na kutekeleza ahadi” wanapowasili jijini New York kwa ajili ya wiki ya ngazi ya…

HABARI ZA KIPEKEE

Papa asema, Wapalestina wanahamishwa ‘kwa mara nyingine tena’ katika ardhi yao, ataka vita vya Ghaza vikomeshwe

September 18, 2025 mjombazecoder

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV amesema Wapalestina wanaishi katika "mazingira yasiyokubalika" huku wakihamishwa kwa nguvu katika Mji wa Ghaza, wakati huu wa mashambulizi makubwa yanayoendelea kufanywa na…

HABARI ZA KIPEKEE

CEDAW: Nigeria ina dhima ya ukiukaji mkubwa na wa kimfumo wa haki za wanawake waliotekwa nyara

September 18, 2025 mjombazecoder

Kamati ya Umoja wa Mataifa ya Kutokomeza Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (CEDAW) imesema, serikali ya Nigeria inawajibika kwa ukiukaji mkubwa na wa kimfumo wa haki za wanawake na wasichana katikati…

HABARI ZA KIPEKEE

Kiongozi wa Mapinduzi aipongeza timu ya miereka kwa kutwaa ubingwa wa dunia

September 17, 2025 mjombazecoder

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameipongeza timu ya taifa ya Iran ya mchezo wa miereka ya freestyle kwa kutwaa taji la ubingwa wa dunia katika…

HABARI ZA KIPEKEE

Yemen yakosoa vikali Mkutano wa Doha kwa kushindwa kuchukua hatua kali dhidi ya Israel

September 17, 2025 mjombazecoder

Serikali ya Yemen imekemea vikali viongozi wa Kiarabu na Kiislamu kwa kushindwa kuchukua hatua za kivitendo katika kuunga mkono Palestina na kukabiliana na jinai za utawala wa Kizayuni, ikisisitiza kuwa…

BBC NEWS TANZANIA

Kwa nini nchi hii ina idadi kubwa ya wanawake walio na zaidi miaka 100?

September 17, 2025 mjombazecoder

Idadi ya vikonggwe iliongezeka hadi 99,763 mwezi Septemba, huku wanawake wakichangia idadi hiyo kwa hadi 88%. Hii inatokana na nini na kwanini baadhi ya watu wanatilia shaka takwimu hizi?

BBC NEWS TANZANIA

Uchaguzi wa Zanzibar bila Maalim Seif, CCM ina upinzani wa aina gani?

September 17, 2025 mjombazecoder

Maalim Seif katika kila hatua, aliibeba Zanzibar kwenye majukwaa ya siasa za upinzani kitaifa na kimataifa.

Uncategorized

Kwa mara ya kwanza Netanyahu akiri kwamba Israel imenasa kwenye kinamasi cha 'kutengwa' kimataifa

September 16, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amekiri kwa mara ya kwanza hadharani kwamba utawala huo ghasibu unatumbukia kwenye lindi la “kutengwa,” wakati mashinikizo ya kimataifa yakiwa…

Uncategorized

Uhispania itasusia Eurovision ikiwa Israel itashiriki, RTVE yatangaza

September 16, 2025 mjombazecoder

Uhispania haitashiriki katika mashindano ya Eurovision “ikiwa Israel itaendelea kushiriki katika tamasha la muziki huku mauaji ya watu wengi huko Gaza yakiendelea,” shirika la utangazaji la RTVE limetangaza leo Jumanne,…

Uncategorized

Iran yatwaa taji la ubingwa wa dunia wa Miereka 2025, yaziacha nyuma Russia na Marekani

September 16, 2025 mjombazecoder

Timu ya taifa ya mchezo wa miereka aina ya Freestyle ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Mashindano ya Dunia ya Miereka ya mwaka 2025 yanayofanyika mjini…

BBC LIVE SOMA

Israel yaanzisha operesheni ya ardhini Gaza City

September 16, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Israel limeishambulia Gaza City kutoka ardhini usiku wa kuamkia leo huku vikosi vyake vikitanua operesheni hizo katika ngome ya wanamgambo wa Hamas katikati ya mji huo. Jeshi hilo…

BBC LIVE SOMA

Wataalam wa UN: Israel inafanya mauaji ya kimbari Gaza

September 16, 2025 mjombazecoder

Ripoti hiyo, iliyotolewa Septemba 16, 2025, imesema Israel imefanya vitendo vinne kati ya vitano vinavyotambuliwa kimataifa kama mauaji ya kimbari, katika mzozo wake na Hamas ikiwemo: Kuua raia kwa makusudi,…

BBC LIVE SOMA

Zelensky asema Urusi imerusha droni 3,500 mwezi Septemba

September 16, 2025 mjombazecoder

Rais Volodymyr Zelensky ameandika hayo kwenye ukurasa wake wa X na kuongeza kuwa kumekuwa pia na visa vya uchokozi wa Urusi dhidi ya washirika wa Ukraine. Zelensky ameendelea kuwatolea wito…

BBC LIVE SOMA

Lissu agoma, ataka wanaCHADEMA waruhusiwe kuingia mahakamani

September 16, 2025 mjombazecoder

Vuta nikuvute imeshuhudiwa kwenye Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Dar es Salaam nchini Tanzania baada ya Lissu kuiomba mahakama iahirishe kesi hiyo hadi pale wafuasi wake watakaporuhusiwa. Leo Jumanne Lissu…

Uncategorized

Ghaza yaandamwa na mashambulio ya kiwendawazimu ya Wazayuni, wanakaribia kuikalia kikamilifu

September 16, 2025 mjombazecoder

Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limeanzisha mashambulizi makali ya anga dhidi ya Mji wa Ghaza kwa saa kadhaa, ambapo mbali na kuwaua shahidi Wapalestina kadhaa linateketeza pia majengo…

BBC LIVE SOMA

UN: Viongozi wa Sudan Kusini wapora mali ya nchi

September 16, 2025 mjombazecoder

Miongoni mwa uporaji uliotajwa ni kulipa dola bilioni 1.7 kwa makampuni yanayohusishwa na Makamu wa Rais Benjamin Bol Mel kwa ujenzi wa barabara ambayo haijawahi kufanyiwa kazi yoyote. Kulingana na…

BBC LIVE SOMA

Donald Trump afanya ziara rasmi Uingereza

September 16, 2025 mjombazecoder

Mkataba huo utaonesha kuwa ushirikiano wa Marekani na Uingereza unasalia kuwa imara licha ya tofauti kuhusu mizozo ya Ukraine, Mashariki ya kati na pia kuhusu mustakabali wa miungano ya nchi…

BBC LIVE SOMA

Trump awasili Uingereza kwa ziara ya pili ya kifalme

September 16, 2025 mjombazecoder

Ziara ya Trump inafanyika wakati vita vinaendelea Ukraine na Mashariki ya Kati, mataifa makubwa yakikabiliana na ushuru wa Marekani, na hii leo Uingereza ina matumaini kuwa maonesho ya kifalme yaweza…

BBC NEWS TANZANIA

Je, Israel inakabiliwa na tatizo la ‘kutengwa’ kama ilivyofanyika Afrika Kusini?

September 16, 2025 mjombazecoder

Je, Israel inakaribia "wakati wa Afrika Kusini", wakati mchanganyiko wa shinikizo la kisiasa, kiuchumi, michezo na kususia utamaduni ulisaidia kulazimisha Pretoria kuachana na ubaguzi wa rangi?

Uncategorized

Jumanne, 16 Septemba 2025

September 16, 2025 mjombazecoder

Leo ni Jumanne tarehe 23 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na Septemba 16, 2025. BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI

Uncategorized

Rushwa iliyokithiri Sudan Kusini inatishia ustawi wa taifa hilo

September 16, 2025 mjombazecoder

Tume ya haki za binadamu ya umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini, yatoa wito kwa idara za uchunguzi nchini Kenya, kuchunguza tuhuma za rushwa na utakatishaji fedha dhidi ya makamu…

Uncategorized

Rais wa Iran azitahadharisha nchi za Kiislamu Doha: Hakuna nchi itakayokuwa salama na uchokozi wa Israel

September 16, 2025 mjombazecoder

Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mashambulizi ya Israel ya Septemba 9 dhidi ya Qatar yameonyesha kuwa hakuna nchi ya Kiarabu au ya Kiislamu iliyo salama…

Uncategorized

Gaza: Uchunguzi wa Umoja wa Mataifa unaishutumu Israel kwa ‘mauaji ya kimbari’

September 16, 2025 mjombazecoder

Tume huru ya kimataifa ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imeishutumu Israel leo Jumanne, Septemba 16, kwa kufanya “mauaji ya halaiki” katika Ukanda wa Gaza tangu kuanza kwa vita mnamo…

BBC NEWS TANZANIA

Simbu alivyojitabiria kutwaa dhahabu miaka 8 iliyopita

September 16, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Getty Images 15 Septemba 2025 Mara ya kwanza aliposhika viatu vya riadha akiwa kijana mdogo huko Singida, hakuwahi kudhani kwamba baada ya miaka miwili baadaye angekuwa shujaa…

BBC NEWS TANZANIA

Kwanini shida ya Man Utd sio mfumo ila ‘watu binafsi’

September 16, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, BBC Sport 15 Septemba 2025 Ninahisi kama najirudia kila ninapozungumzia matatizo ya Manchester United lakini mambo yale yale yanaendelea kutokea. Wanafanya makosa yale yale, na hata si…

Uncategorized

Ripoti: Ulanguzi wa dawa za kulevya Afrika Magharibi waambatana na matumizi yasiyodhibitiwa

September 16, 2025 mjombazecoder

Eneo la Afrika Magharibi linakabiliwa na ulanguzi mkubwa wa dawa za kulevya unaoambatana na matumizi yasiyodhibitika. BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI

BBC NEWS TANZANIA

BBC Africa Eye: Mtandao wa biashara haramu ya ngono unaoendeshwa kutoka Dubai wafichuliwa na BBC

September 16, 2025 mjombazecoder

Maelezo ya picha, Charles Mwesigwa – anayejulikana kwa jina la Abbey – anasema wanawake wanaomfanyia kazi ni machachari sana Maelezo kuhusu taarifa Author, Runako Celina Nafasi, BBC Eye Investigations 15…

BBC NEWS TANZANIA

Dira Ya Dunia

September 16, 2025 mjombazecoder

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki Source link

Uncategorized

Asasi za kiraia zatoa wito kwa makampuni ya Ulaya kuacha kufanya biashara na vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

September 16, 2025 mjombazecoder

Zaidi ya mashirika 80 yasiyo ya kiserikali (NGOs) yamezitaka nchi na makampuni ya Ulaya kuacha kufanya biashara na vitongoji haramu vinavyojengwa na utawala ghasibu wa Israel katika Palestina inayokaliwa kwa…

Uncategorized

Marekani yashambulia tena boti ya Venezuela inayotuhumiwa kwa ‘usafirishaji wa dawa za kulevya’

September 16, 2025 mjombazecoder

Mvutano unaongezeka kati ya Washington na Caracas baada ya shambulio lingine la Marekani dhidi ya meli ya Venezuela katika Bahari ya Caribbean. Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa jeshi…

BBC NEWS TANZANIA

Je, vijana wako tayari kuchukuwa nafasi yao katika uongozi wa kitaifa Afrika Mashariki?

September 16, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, GP Maelezo kuhusu taarifa Author, Na Laillah Mohammed Nafasi, BBC Swahili X, @leilakhatenje Akiripoti kutoka Nairobi Kenya Dakika 20 zilizopita Ni msimu wa siasa za uchaguzi katika…

Posts pagination

1 … 156 157 158 … 192

Recent Posts

  • Uwanja wa ndege wa Khartoum, Sudan, wapokea ndege ya kwanza ya baada ya zaidi ya miaka miwili
  • Chama cha CHADEMA charipoti kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho na Polisi
  • Fountain Gate yaikomalia Coastal Mkwakwani
  • Wydad mpya ya Ziyech, Aziz Ki balaa jingine
  • Baada ya kupigwa sita, Conte aponda usajili Napoli

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on aarifa Kuu Za App

Archives

  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • July 2025
  • August 2024
  • June 2016

Categories

  • BBC LIVE SOMA
  • BBC NEWS TANZANIA
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • LTV LIVE TV
  • LTV TV
  • MAGAZETI
  • MICHEZO
  • MWANANCHI
  • ONLINETV
  • SPORTVTV
  • Uncategorized
  • VIDEOS NEWS TV

You missed

BBC LIVE SOMA

Uwanja wa ndege wa Khartoum, Sudan, wapokea ndege ya kwanza ya baada ya zaidi ya miaka miwili

October 22, 2025 mjombazecoder
BBC LIVE SOMA

Chama cha CHADEMA charipoti kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho na Polisi

October 22, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Fountain Gate yaikomalia Coastal Mkwakwani

October 22, 2025 mjombazecoder
MWANANCHI

Wydad mpya ya Ziyech, Aziz Ki balaa jingine

October 22, 2025 mjombazecoder

LTV TANZANIA

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS