Skip to content
  • Sun. Oct 19th, 2025

LTV TANZANIA

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY

Latest Post

#SerieA Kimewang’ang’ania…!!! NBC Premier League Jumapili hii 55′ | #LaLigaEASports Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi Ibenge awakomalia mastaa Azam FC
SPORTVTV

#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!

October 18, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

NBC Premier League Jumapili hii

October 18, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

55′ | #LaLigaEASports

October 18, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi

October 18, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Ibenge awakomalia mastaa Azam FC

October 18, 2025 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!
SPORTVTV
#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!
NBC Premier League Jumapili hii
SPORTVTV
NBC Premier League Jumapili hii
55′ | #LaLigaEASports
SPORTVTV
55′ | #LaLigaEASports
Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi
MICHEZO
Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi
aarifa Kuu Za App
Uncategorized
aarifa Kuu Za App
Yanga yamtimua Romain Folz, Mabedi apewa Mikoba
MWANANCHI
Yanga yamtimua Romain Folz, Mabedi apewa Mikoba
MICHEZO
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!
SPORTVTV
#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!
NBC Premier League Jumapili hii
SPORTVTV
NBC Premier League Jumapili hii
55′ | #LaLigaEASports
SPORTVTV
55′ | #LaLigaEASports
Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi
MICHEZO
Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi
LTV LIVE TV

🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 23, 2025 – CCM KWENYE MCHUJO WA MAJINA YA WALIOOMBA KUTEULIWA DODOMA

August 23, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 23, 2025 – CCM KWENYE MCHUJO WA MAJINA YA WALIOOMBA KUTEULIWA DODOMA

LTV LIVE TV

#HABARI: Bodi ya Korosho Tanzania(CBT) imetoa tuzo ya Muandishi Bora wa Taarifa za Korosho kundi la Runinga, kwa mwandishi wa ha…

August 23, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Bodi ya Korosho Tanzania(CBT) imetoa tuzo ya Muandishi Bora wa Taarifa za Korosho kundi la Runinga, kwa mwandishi wa habari wa ITV/Radio One mkoa wa indi, Bi. Fatuma Maumba.…

LTV LIVE TV

Kwa haya na Mengine mengi usikose kuungana nasi ifikapo Saa mbili kamili usiku

August 23, 2025 mjombazecoder

Kwa haya na Mengine mengi usikose kuungana nasi ifikapo Saa mbili kamili usiku. . Unaweza pia kutazama Taarifa yetu ya Habari kupitia Youtube na Facebook #ITVTanzania . Usisahau Ku-Subscribe ili…

BBC LIVE SOMA

24 wauwawa Gaza-njaa yahofiwa kutanua janga la kibinaadamu

August 23, 2025 mjombazecoder

Hali hiyo imetokea wakati baa la njaa lililoripotiwa huko, likizidi kutoa shinikizo kwa Israel kuachana na vita vyake, ikiwa ni miezi 22 tangu ilipoanza kulishambulia kundi la Hamas. Waziri wa…

BBC LIVE SOMA

Zelensky: Urusi kushinikizwa kufikia amani na Ukraine

August 23, 2025 mjombazecoder

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amesema mataifa ya kusini mwa dunia yanapaswa kuishinikiza Urusi kuelekea amani katika vita vyake na Ukraine, akisisitiza yanapaswa kusaidia kumleta Putin katika meza ya mazungumzo.

BBC LIVE SOMA

Japan na Korea Kusini wakubaliana kuimarisha mahusiano yao

August 23, 2025 mjombazecoder

Mivutano kuhusu umiliki wa maeneo, Japan kuwafanyisha kazi ngumu raia wa Korea Kusini wakati ilipoikalia rasi ya Korea kwa takriban muongo mmoja ni miongoni mwa mambo yaliyosababisha mikwaruzano baina ya…

BBC LIVE SOMA

Mchakato wa uchaguzi wa bunge waahirishwa Syria

August 23, 2025 mjombazecoder

Tangazo hili limetolewa na tume ya uchaguzi nchini humo. Uchaguzi huo wa bunge ulikuwa umepangiwa kufanyika tarehe 15 hadi 20 ya mwezi Ujao. Hakuna tarehe mpa iliyotolewa ya uchaguzi huo…

LTV LIVE TV

🔴HAPA NA PALE KUTOKA RUVUMA: AGOSTI 23, 2025 -WAKULIMA WASHAURIWA KUTUMIA MBEGU BORA

August 23, 2025 mjombazecoder

🔴HAPA NA PALE KUTOKA RUVUMA: AGOSTI 23, 2025 -WAKULIMA WASHAURIWA KUTUMIA MBEGU BORA

LTV LIVE TV

#HABARI:Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imekanusha taarifa zinazodai kuwa mfumo wake wa uchaguzi umeunganishwa na mifumo y…

August 23, 2025 mjombazecoder

#HABARI:Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imekanusha taarifa zinazodai kuwa mfumo wake wa uchaguzi umeunganishwa na mifumo ya NIDA ama chama cha siasa na kwamba uchaguzi tayari umekamilika. Mkurugenzi…

LTV LIVE TV

#HABARI: Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama, Frola Sangiwa, ameeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu ongezeko la …

August 23, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama, Frola Sangiwa, ameeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu ongezeko la usafirishaji haramu wa binadamu, hasa watoto kutoka nchi jirani wanaofika kwa lengo…

LTV LIVE TV

Photos from ITV Tanzania’s post

August 23, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Wakili na Mwanaharakati wa Haki za kijamii, Mwanaisha Mndeme, amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni, kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, zoezi hilo limefanyika katika Ofisi za…

LTV LIVE TV

#HABARI: Baadhi ya Wakulima wanaojishughulisha na Kilimo cha Tumbaku katika Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, wameishukuru serik…

August 23, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Baadhi ya Wakulima wanaojishughulisha na Kilimo cha Tumbaku katika Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, wameishukuru serikali kwa kuweka mazingira wezeshi kwa wanunuzi wa zao hilo ambapo siku za nyuma…

LTV LIVE TV

#HABARI: Waziri wa TAMISEMI Mhe

August 23, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Waziri wa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amewagiza Wakurugenzi wa Halmashauri nchini, kuimarisha vitengo vya michezo kwa kuhakikisha watumishi wa Umma wanashiriki kimakamilifu kwenye Michezo mbalimbali ambayo itawezesha kuimarisha Afya,…

BBC LIVE SOMA

IPC yatangaza baa la njaa katika Ukanda wa Gaza

August 23, 2025 mjombazecoder

Hali hiyo pia huenda ikawa mbaya zaidi kama misaada ya kitu haitoruhusiwa kuingia kwa wingi katika ukanda huo ambao ni makazi kwa maelfu ya wapalestina. Njaa inahofiwa kusambaa katika sehemu…

BBC LIVE SOMA

Waendesha mashitaka wa Kongo wataka Kabila ahukumiwe kifo

August 23, 2025 mjombazecoder

Kabila anashitakiwa bila kuwepo mahakamani kwa makosa hayo na mengine ya uhalifu wa kivita, yanayohusishwa na uongozi wake wa takriban miaka 20 katika taifa hilo la Afrika Mashariki. Kabila aliyoiongoza…

LTV LIVE TV

#VIDEO: Taasisi ya Kibao Salama Foundation imeanzisha maktaba mtandao ambayo inajihusisha na kutoa elimu mbalimbali kwa jamii ik…

August 23, 2025 mjombazecoder

#VIDEO: Taasisi ya Kibao Salama Foundation imeanzisha maktaba mtandao ambayo inajihusisha na kutoa elimu mbalimbali kwa jamii ikiwemo elimu dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya, elimu ya ujasiriamali, hayo…

BBC LIVE SOMA

Guinea yafungia kwa muda vyama vitatu vya kisiasa

August 23, 2025 mjombazecoder

Hii ikiwa ni kulingana na agizo lililoonekana na shirika la habari la AFP hii leo Jumamosi. Hatua hiyo inajiri baada ya vyama vikuu na mashirika ya kiraia katika taifa hilo…

BBC LIVE SOMA

Rais wa Korea Kusini Lee Myung yuko Japan kwa ziara rasmi

August 23, 2025 mjombazecoder

Lee pia anatarajiwa kukutana na rais wa Marekani Donald Trump mjini Washington siku ya Jumatatu wiki Ijayo. Katika ziara yake ya kwanza rasmi Japan, Lee atakutana na Waziri Mkuu Shigeru…

LTV LIVE TV

#HABARI: Watu wasiojulikana wamemshambulia kwa panga aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, Bw

August 23, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Watu wasiojulikana wamemshambulia kwa panga aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, Bw. Yusto Mapande, wakati akiingia nyumbani kwake, ambapo katika tukio hilo, Mapande alijeruhiwa mkononi na mguuni…

BBC LIVE SOMA

Uganda yawinda nusu fainali kwa kumenyana na Senegal

August 23, 2025 mjombazecoder

Uganda Cranes wanaingia katika mechi hiyo wakiwa na matumaini makubwa baada ya kuongoza Kundi C na kutinga hatua ya mtoano ya CHAN kwa mara ya kwanza katika historia yao. Uganda…

LTV LIVE TV

#HABARI: Wakazi 3,020 wa Kijiji cha Kenyamonta na Vijiji jirani vya Kata ya Kenyamonta, wanatarajia kuanza kupata huduma ya afya…

August 23, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Wakazi 3,020 wa Kijiji cha Kenyamonta na Vijiji jirani vya Kata ya Kenyamonta, wanatarajia kuanza kupata huduma ya afya baada ya kuanza ujenzi wa Zahanati ya Kenyamonta inayogharimu zaidi…

BBC LIVE SOMA

Mwaendesha mashtaka ataka Joseph Kabila anyongwe

August 23, 2025 mjombazecoder

Waendesha mashtaka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewasilisha maombi kutaka Joseph Kabila ahukumiwe adhabu ya kifo kwa makosa ya uhaini katika kesi inayomkabili mahakamani. Jenerali Lucien René Likulia aliyemwakilisha…

BBC LIVE SOMA

Waendesha mashitaka Kongo wataka Kabila ahukumiwe kifo

August 23, 2025 mjombazecoder

Waendesha mashtaka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewasilisha maombi kutaka Joseph Kabila ahukumiwe adhabu ya kifo kwa makosa ya uhaini katika kesi inayomkabili mahakamani. Jenerali Lucien René Likulia aliyemwakilisha…

LTV LIVE TV

#HABARI: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Kamishna msaidizi Mwandanizi wa Polisi (SACP) Marco G

August 23, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Kamishna msaidizi Mwandanizi wa Polisi (SACP) Marco G. Chilya, amewataka watendajiwa wa Dawati la Jinsia na watoto Mkoani Ruvuma kuendelea kujikita katika utoaji…

LTV LIVE TV

🔴CHAN 2024: KENYA 1-1 MADAGASCAR

August 23, 2025 mjombazecoder

🔴CHAN 2024: KENYA 1-1 MADAGASCAR

LTV LIVE TV

🔴WATOTO WETU: 23, AGOSTI 2025

August 23, 2025 mjombazecoder

🔴WATOTO WETU: 23, AGOSTI 2025

LTV LIVE TV

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 23, 2025

August 23, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 23, 2025

LTV LIVE TV

🔴KUMEKUCHA: ……AGOSTI 23, 2025 -UMUHIMU WA STADI ZA MAISHA

August 23, 2025 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA: ……AGOSTI 23, 2025 -UMUHIMU WA STADI ZA MAISHA

LTV LIVE TV

🔴MAGAZETI, AGOSTI 23, 2025 -MBIVU, MBICHI CCM WALIOPENYA, KUACHWA UBUNGE KUJULIKANA

August 23, 2025 mjombazecoder

🔴MAGAZETI, AGOSTI 23, 2025 -MBIVU, MBICHI CCM WALIOPENYA, KUACHWA UBUNGE KUJULIKANA

LTV LIVE TV

#SWALILAKIPIMAJOTO: Wanaowauzia waraibu dawa tiba zenye kibali maalum kama mbadala wa dawa za kulevya

August 23, 2025 mjombazecoder

#SWALILAKIPIMAJOTO: Wanaowauzia waraibu dawa tiba zenye kibali maalum kama mbadala wa dawa za kulevya. Je, waadhibiwe kama wahalifu wengine wa biashara hiyo?

BBC LIVE SOMA

Matangazo ya Mchana: 23.08.2025

August 23, 2025 mjombazecoder

23.08.202523 Agosti 2025 Shirika la tathimini ya chakula duniani IPC yatangaza uwepo wa baa la njaa Gaza. Waendesha mashitaka wa Kongo wataka Joseph Kabila ahukumiwe kifo kwa makosa ya uhaini.…

BBC LIVE SOMA

Matangazo ya Jioni: 23.08.2025

August 23, 2025 mjombazecoder

23.08.202523 Agosti 2025 Watu 24 wauawa Gaza huku baa la njaa likihofiwa kuutanua zaidi mzozo wa kibinadamu. Rais wa Ukraine Volodymir Zelensky ameyataka mataifa ya Africa, Asia, Latin America, na…

BBC LIVE SOMA

Ufaransa yasema Iran ifikie suluhu ya nyuklia haraka

August 22, 2025 mjombazecoder

Taarifa hiyo imekuja baada ya mazungumzo ya simu kati yake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, wakishirikiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, David…

BBC LIVE SOMA

Zelensky: Urusi inaukwepa mkutano kati ya yangu na Putin

August 22, 2025 mjombazecoder

Zelensky pia ametoa wito kwa washirika wa Ukraine kuiwekea Urusi vikwazo vipya kama haitoonesha dhamira ya kweli ya kusitisha uvamizi wake Ukraine. Rais huyo wa Ukraine aliyekuwa akizungumza katika mkutano…

BBC LIVE SOMA

Ujerumani yasema msaada zaidi unahitajika Ukanda wa Gaza

August 22, 2025 mjombazecoder

Hii ni baada ya ripoti ya tathmini ya Usalama wa upatikanaji wa Chakula, IPC, kutangaza baa la njaa katika ukanda huo. Radovan amesema ripoti hiyo inayoungwa mkono na Umoja wa…

BBC LIVE SOMA

Ulaya na Iran kuendeleza mazungumzo ya nyuklia

August 22, 2025 mjombazecoder

Wanadiplomasia wa Iran wanatarajiwa kukutana na wenzao wa Uingereza, Ufaransa na Ujerumani kwamazungumzo ya mpango wa nyuklia wa Tehran, wakati mataifa hayo yakizingatia kurejesha vikwazo dhidi ya nchi hiyo. Waziri…

BBC LIVE SOMA

Uingereza, Umoja wa Mataifa wailaumu Israel kwa njaa Gaza

August 22, 2025 mjombazecoder

Kauli hiyo ya Uingereza ilitolewa siku ya Ijumaa (Agosti 22) na Waziri wa Mambo ya Kigeni, David Lammy, ambaye alilaani kile alichokiita “uovu wa kimaadili na janga la kutengezwa na…

BBC LIVE SOMA

Mapigano yazidi Kivu Kusini, juhudi za amani zikiendelea

August 22, 2025 mjombazecoder

Kuanzia Jumatatu hadi Jumatano, karibu watu wanane wamepoteza maisha katika mapigano yaliyotokea kwenye baadhi ya vijiji vya wilaya ya Mwenga, vinavyopakana na wilaya ya Uvira, hali iliyoongeza wasiwasi kwa wakaazi…

BBC LIVE SOMA

Chanjo kutoka Afrika: Nyota njema yachomoza

August 22, 2025 mjombazecoder

Janga la COVID-19 limechochea harakati mpya barani Afrika za kujitegemea katika uzalishaji wa dawa na chanjo ili kupunguza utegemezi mkubwa wa uagizaji kutoka nje. Upungufu na usambazaji usio sawa wa…

BBC LIVE SOMA

Rais wa zamani wa Sri Lanka akamatwa kwa rushwa

August 22, 2025 mjombazecoder

Taarifa kutoka kituo cha televisheni cha nchini humo, Ada Derana, zinasema Rais wa zamani wa Sri Lanka, Ranil Wickremesinghe amekamatwa na Idara ya Uchunguzi wa Jinai (CID) kuhusiana na madai…

BBC LIVE SOMA

Mvutano wa mipaka ya maji kati ya Kenya na Uganda watokota

August 22, 2025 mjombazecoder

Malalamiko yamezidi kuibuliwa na wavuvi ziwani humo juu ya unyanyasaji dhidi ya wavuvi wa Kenya unaofanywa na maafisa wa usalama wa Uganda. Takriban wiki tatu zilizopita, Kenya na Uganda zilisaini…

BBC LIVE SOMA

Iran kujadili mpango wake wa nyuklia na Ulaya

August 22, 2025 mjombazecoder

Mataifa hayo matatu makubwa ya Ulaya awali yalitishia kuirejeshea Iran vikwazo ilivyowekewa na Umoja wa Mataifa, iwapo Jamhuri hiyo ya Kiislamu haitorejea tena katika meza ya mazungumzo kuhusu mpango wake…

BBC LIVE SOMA

Katz: Tutawamaliza Hamas wasiporidhia masharti ya vita

August 22, 2025 mjombazecoder

Kupitia ujumbe aliouandika kwenye mtandao wa X, Katz alisema “milango ya jehanamu” itafunguliwa dhidi ya Hamas, ambao aliwaita wauaji, hadi watakapokubali masharti ya Israel ya kumaliza vita. Ameonya kuwa iwapo…

BBC LIVE SOMA

Wanawake maveterani wa Kosovo bado hawathaminiwi, kwa nini?

August 22, 2025 mjombazecoder

Albina Haradinaj, mwanajeshi wa zamani kutoka Gjakova mwenye umri wa miaka 42. Ingawa hadhi yake ya veterani inamuwezesha kutambuliwa rasmi kama veterani wa vita pamoja na kupata mafao kama vile…

Uncategorized

Jeshi la Niger linadai kumuua kiongozi wa kundi la Boko Haram

August 22, 2025 mjombazecoder

Kwa mujibu wa shirika la habari la AFP, jeshi la Niger limetangaza siku ya Alhamisi jioni kwamba limemuua kiongozi wa kundi la wanajihadi la Boko Haram wiki iliyopita katika Bonde…

Uncategorized

Waziri Mkuu wa zamani wa Thailand Thaksin aachiliwa katika Kesi ya kuutusi utawala wa kifalme

August 22, 2025 mjombazecoder

Mahakama ya Bangkok imemuachilia huru bilionea aliyekuwa na utata na Waziri Mkuu wa zamani wa Thailand Thaksin Shinawatra kwa kosa la kuutusi utawala wa kifalme. Imechapishwa: 22/08/2025 – 07:58 Dakika…

Uncategorized

Cameroon: Watu nusu milioni wako hatarini kuachwa bila msaada wa chakula yaonya WFP

August 22, 2025 mjombazecoder

Watu nusu milioni nchini Cameroon wana hatari ya kuachwa bila msaada wa chakula katika wiki zijazo kutokana na uhaba wa fedha, kulingana na shirika la Imoja wa Mataifa la Mpango…

Uncategorized

Kampala yafafanua makubaliano yaliyofikiwa na Washington kuhusu wahamiaji kutumwa Uganda

August 22, 2025 mjombazecoder

Baada ya Rwanda, Eswatini na Sudan Kusini, ni zamu ya Kampala kufikia makubaliano kuhusu wahamiaji na serikali ya Marekani ya Donald Trump. Uganda, ambayo tayari inaongoza kwa kuwahifadhi wakimbizi barani…

Uncategorized

Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025

August 22, 2025 mjombazecoder

Msimu wa mvua unaendelea nchini Niger, na kama kila mwaka, nchi hiyo inapata mvua kwa wiki kadhaa, mara kwa mara ikiambatana na mafuriko. Ingawa inadumu hadi mxezi Oktoba, idadi rasmi…

Uncategorized

Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia

August 22, 2025 mjombazecoder

Kesi dhidi ya rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila, iliyoanza mwezi Julai 2025 mbele ya Mahakama Kuu ya Kijeshi mjini Kinshasa, inakaribia kumalizika. Joseph Kabila Kabange, ambaye aliongoza Jamhuri…

Posts pagination

1 … 174 175 176

Recent Posts

  • #SerieA Kimewang’ang’ania…!!!
  • NBC Premier League Jumapili hii
  • 55′ | #LaLigaEASports
  • Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi
  • Ibenge awakomalia mastaa Azam FC

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on aarifa Kuu Za App

Archives

  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • July 2025
  • August 2024
  • June 2016

Categories

  • BBC LIVE SOMA
  • BBC NEWS TANZANIA
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • LTV LIVE TV
  • LTV TV
  • MAGAZETI
  • MICHEZO
  • MWANANCHI
  • ONLINETV
  • SPORTVTV
  • Uncategorized
  • VIDEOS NEWS TV

You missed

SPORTVTV

#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!

October 18, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

NBC Premier League Jumapili hii

October 18, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

55′ | #LaLigaEASports

October 18, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi

October 18, 2025 mjombazecoder

LTV TANZANIA

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS