Iran yatafakari pendekezo la Marekani kumaliza vita
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei, amesema Tehran bado inapitia pendekezo hilo na baadaye itawasilisha msimamo wake kupitia wapatanishi kutoka Pakistan.
Rigathi Gachagua adai kiongozi mkuu wa upinzani ni kibaraka wa William Ruto
Rigathi Gachagua anadai Rais Ruto amepanda vishoga katika Upinzani wa Muungano ili kupandikiza mgawanyiko. Anaonya kuhusu vitisho kwa muungano kabla ya uchaguzi.
Je, huu ni wakati wa Arsenal?
Inashangaza jinsi Arsenal ilivyokuwa katika hali ngumu hivi majuzi, lakini sasa wametinga fainali ya Ligi ya Mabingwa.
Fahari Supercup yaingia msimu wa tano, Mweta aiangukia Serikali
Mkurugenzi wa Mashindano ya Fahari Supercup, Wilbert Mweta, ameiomba serikali kutoa mikopo kwa wadau wanaoendesha mashindano ya michezo katika ngazi za chini ili kukuza vipaji vya wachezaji chipukizi.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 7, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: MEI 06, 2026
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: MEI 06, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
🔴MCHEZO SUPA: KWA NGUVU YA BUKU USIKAE KINYONGE: MEI 06, 2026
🔴MCHEZO SUPA: KWA NGUVU YA BUKU USIKAE KINYONGE: MEI 06, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Muandaaji na mtangazaji wa vipindi vya michezo @itvtz na @radioonetanzania @khalidmsabaha_ ameingia kwenye tatu bora ki…
#HABARI: Muandaaji na mtangazaji wa vipindi vya michezo @itvtz na @radioonetanzania @khalidmsabaha_ ameingia kwenye tatu bora kinyang’anyiro cha Tuzo za @bmt (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Zaidi ya wananchi 300 katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma wamefikiwa na kuhudumiwa na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Ud…
#HABARI: Zaidi ya wananchi 300 katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma wamefikiwa na kuhudumiwa na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) katika kipindi cha siku sita tu tangu kuanza…
🔥 USAJILI BADO UNAENDELEA MAC D HALF MARATHON 2026 🔥
🔥 USAJILI BADO UNAENDELEA MAC D HALF MARATHON 2026 🔥 Uko tayari kukimbia na vibe za nguvu? 💪🏾🏃🏾♂️ Hii ndiyo nafasi yako kushiriki Mac D Half Marathon tarehe 4 July…
Dk Mecktridis alia na shida ya maji Malinyi
DODOMA: MBUNGE wa Jimbo la Malinyi, Dk. Mecktridis Mdaku, ameishukuru Serikali kwa kutoa fedha za miradi ya maji katika jimbo lake, huku akiibua changamoto kadhaa zinazoendelea kuwakabili wananchi. Akichangia moja…
Ted Turner: Kigogo wa vyombo vya habari na mwanzilishi wa CNN afariki dunia akiwa na miaka 87
Mwanzilishi wa CNN Ted Turner alifariki Jumatano na kuacha urithi mkubwa wa vyombo vya habari duniani ambayo ilibadilisha habari, utangazaji wa michezo, na uhisani.
Wakazi wa Dodoma na wananchi kwa ujumla wametakiwa kuacha dhana potofu na kutumia huduma za Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhami…
Wakazi wa Dodoma na wananchi kwa ujumla wametakiwa kuacha dhana potofu na kutumia huduma za Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kuandika na kutunza wosia ili kulinda mustakabali wa…
Watu wawili wamefariki dunia na wengine 15 wakijeruhiwa kufuatia tukio la vurugu lililotokea alfajiri ya leo mkoani Pwani likihu…
Watu wawili wamefariki dunia na wengine 15 wakijeruhiwa kufuatia tukio la vurugu lililotokea alfajiri ya leo mkoani Pwani likihusishwa na madai ya mgogoro wa ardhi unaodaiwa kudumu kwa muda mrefu…
Usiku wa kuamkia leo Jumatano Mei 6, 2026 Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA) imetangaza bei mpya za…
Usiku wa kuamkia leo Jumatano Mei 6, 2026 Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta kama ilivyo katika utaratibu wake wa…
Mbunge wa Jimbo la Msalala,Mhe
Mbunge wa Jimbo la Msalala,Mhe. Mabula Magangila ameiomba Wizara ya Maji kushughulikia changamoto ya gharama kubwa za kuunganisha huduma ya maji majumbani katika maeneo ya vijijini akisema hali hiyo bado…
Wakati hali ya bei ya mafuta ikiendelea kuchanganya vichwa vya watu kufuatia mgogoro wa kiusalama unaoendelea kati ya Iran na us…
Wakati hali ya bei ya mafuta ikiendelea kuchanganya vichwa vya watu kufuatia mgogoro wa kiusalama unaoendelea kati ya Iran na ushirikiano wa Marekani na Israel swali linalogonga vichwa vya wachambuzi…
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linaendelea kupeleleza kwa uzito mkubwa tukio la mauaji ya mtu aliyetambulika kwa jin…
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linaendelea kupeleleza kwa uzito mkubwa tukio la mauaji ya mtu aliyetambulika kwa jina la James Rogers Temba mwanafunzi wa mwaka wa pili…
Chama airejesha Simba nafasi ya pili Ligi Kuu
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya Yanga, wameendelea kuweka hai matumaini yao ya kupigania ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya leo Jumatano…
Applikesheni mpya kwa wateja yazinduliwa kuwezesha maisha kidijitali
Yas Tanzania imezindua rasmi applikesheni mpya ya “Yas App”, yenye lengo ya kubadilisha namna...
Chama afanya yake tena Jeshini
Simba ilianza kwa presha ya juu, ikitengeneza mashambulizi ya mapema kupitia Clatous Chama...
Watatu wafariki, 15 wajeruhiwa vurugu za mgogoro wa ardhi Kibaha
Ni hali ya taharuki, simanzi na sintofahamu kwa wakazi wa Lupaso, Kata ya Vikawe, wilayani...
‘Wenye sifa ya kupandishwa vyeo wasicheleweshwe
ARUSHA: Serikali imeagiza waajiri na wasimamizi wa rasilimali watu nchini kuhakikisha watumishi wote wenye sifa na waliotengewa bajeti ya kupandishwa vvyeo Mei mwaka huu wanapandishwa vyeo bila kuwapo kwa ucheleweshaji…
Amsons Group yawashawishi wawekezaji wa Tanzania kupanua biashara Afrika Mashariki
Kampuni ya Amsons Group imewataka wawekezaji wa Kitanzania kutumia fursa zilizopo nchini Kenya...
Rigathi Gachagua akumbuka jinsi alivyoshtuka kumuona Atwoli Ikulu: “Alikuwa akicheka kwa haya”
Rigathi Gachagua amekumbuka wakati alipokutana na Atwoli Ikulu, akakosoa uongozi katika COTU, na kutoa wito wa kuundwa kwa shirika jipya la haki za wafanyakazi.
Wilaya ya Kigamboni imesema inatarajia kuipandisha hadhi hospitali ya wilaya hiyo na kuifanya kuwa hospitali ya rufaa katika mwa…
Wilaya ya Kigamboni imesema inatarajia kuipandisha hadhi hospitali ya wilaya hiyo na kuifanya kuwa hospitali ya rufaa katika mwaka wa fedha 2026/27 ili kusogeza huduma za kibingwa karibu na wananchi.…
Mambo mawili ujio wa Drogba Bongo
KUNA mambo mawili yanayomuhusu mshambuliaji wa zamani wa Chelsea na timu ya taifa la Ivory Coast, Didier Drogba, katika ziara yake ya siku tatu hapa nchini huku akielezea utayari wake…
Mabasi 150 ya Mofat yatimiza nusu mwaka bila kuingia barabarani, Kafulila aingilia kati
Zaidi ya mabasi 150 ya mwendo wa haraka (mwendokasi) yaliyoletwa kwa ajili ya kutoa huduma...
Yao azua gumzo KMC Complex, Yanga ikijichimbia kileleni
USHINDI wa Yanga wa bao 1-0 dhidi ya KMC, umeacha gumzo kwa mashabiki, sio tu kwa matokeo bali pia uamuzi wa benchi la ufundi la timu hiyo yaliyobadili mwelekeo wa…
Kocha wa Yanga SC, Goncalves atimuliwa
DAR ES SALAAM: Uongozi wa klabu ya Yanga umetangaza kumfuta kazi kocha mkuu wa timu hiyo, Pedro Goncalves kuanzia leo Mei 5,2026. Katika taarifa yao kwa umma iliyotolewa muda huu,…
Otiende Amollo asema ODM hakijaamua kama kitakuwa na mgombea urais 2027 au la: “Hatujakubaliana”
Mbunge wa Rarieda Otiende Amollo amesema ODM hakijafanya maamuzi kuhusu mkakati wa 2027, akizungumzia mgawanyiko wa ndani ambao haujatatuliwa na msuala mengine.
Benki ya Standard Chartered kuuza jengo lake Nairobi
Benki ya Standard Chartered imeanza mchakato wa kuuza makao makuu yake ya Afrika Mashariki...
Yanga yamtimua Pedro, Moalin apewa usukani
Taarifa ya Yanga imeeleza kuwa benchi la ufundi la timu hiyo litakuwa chini ya Abdihamid Moalin...
Gachagua atoa kauli nzito kuhusu serikali ya Ruto lakini umeme wakatika: “Mkizima tunaendelea tu”
Rigathi Gachagua aliikosoa serikali ya Ruto kuhusu mapambano ya wafanyakazi licha ya umeme kukatika. Alihoji tangazo kuhusu kiwanda cha kusafisha mafuta Tanzania.
Taasisi za umma Tandahima zahimizwa nishati safi
MTWARA: KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang’onda amezitaka taasisi za umma kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara kuhakikisha zinatumia nishati safi ya kupikia ili…
Watuhumiwa 209 wahusishwa na mali za wizi, dawa za kulevya
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji limekamata jumla ya watuhumiwa 209 katika operesheni na...
Ataka kutapeli kupitia mawasiliano na Rais Samia
Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia mtu mmoja anayedaiwa kuwa raia wa Burundi kwa...
Wakazi wa kitongoji cha Tungutungu kata ya Mapinga wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani wamelalamikia uchimbaji Mchanga holela katika …
Wakazi wa kitongoji cha Tungutungu kata ya Mapinga wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani wamelalamikia uchimbaji Mchanga holela katika makazi ya watu unaoharibu Mazingira na kuhatarisha usalama wa Wananchi. #kilichoborakabisa (Feed generated…
Yanga yamfuta kazi Pedro Goncalves, Moallin kukaimu
Dakika chache baada ya Yanga kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya KMC, uongozi wa timu hiyo leo Jumatano, Mei 6, 2026 umetangaza kumfuta kazi Kocha Mkuu wa timu hiyo,…
Mjane wa Job Obwaka Aonekana kwenye Makafani ya Lee, Familia Yatangaza Tarehe ya Mazishi
Mipango ya mazishi ya Dkt Job Obwaka imetangazwa. Mjane aliyevunjika moyo Everose Chemtai aliwasili katika makafani ya Lee familia ikifichua tarehe atakayopumzishwa
Wataalamu wajengewa uwezo matumizi mashine za mkaa mbadala
MOROGORO: JESHI la Magereza nchini limewapatia wataalamu wake ambao ni askari mafunzo maalumu ya matumizi ya mashine za kutengeneza mkaa mbadala unaotokana na mabaki ya mimea kufuatiwa kununuliwa mashine za…
Mahakama ya Ufaransa yabatilisha kufutwa kwa mashtaka dhidi ya Agathe Habyarimana
Chumba cha uchunguzi cha Mahakama ya Rufaa ya Paris kimeamua Jumatano, Mei 6, 2026, kubatilisha kufutwa kwa mashtaka yaliyotolewa mwaka jana kwa mke wa rais wa zamani wa Rwanda, Agathe…
RDC: Masomo ya baadhi ya watoto yakwama Goma kutokana ukosefu wa fedha
Mamia ya wazazi katika mji wa Goma, wamelazimika kusitisha masomo ya watoto wao, kutokana na ukosefu wa fedha, ambao umesababishwa pakubwa na kutatizika kwa shughuli za kiuchumi na kufungwa kwa…
Waharibifu mazingira waonywa Mvomero
MOROGORO: MKUU wa Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro, Maulid Dotto amewataka wananchi wa wilaya hiyo kuacha kufanya shughuli za kibinadamu katika vyanzo vya maji na misitu ya asili. Aidha, amewataka…
Côte d’Ivoire: Serikali yavunja Tume Huru ya Uchaguzi (CEI)
Serikali ya Côte d’Ivoire imevunja Tume Huru ya Uchaguzi (CEI) siku ya Jumatano, Mei 6, kufuatia ukosoaji mwingi dhidi ya chombo hicho. Mfumo mpya wa usimamizi wa uchaguzi unatarajiwa kuwekwa…
Trump aonya kuwa Iran itashambuliwa kwa nguvu iwapo mkataba hautopatikana
Rais wa Marekani Donald Trump amesema vita nchini Iran, huenda vikakamilika kwa upatikanaji wa mkataba, lakini anaonya kuwa, vita vipya vitaanza iwapo mkataba huo hautapatikana. Imechapishwa: 06/05/2026 – 17:32Imehaririwa: 06/05/2026…