Matangazo ya Mchana: 23.08.2025
23.08.202523 Agosti 2025 Shirika la tathimini ya chakula duniani IPC yatangaza uwepo wa baa la njaa Gaza. Waendesha mashitaka wa Kongo wataka Joseph Kabila ahukumiwe kifo kwa makosa ya uhaini.…
Matangazo ya Jioni: 23.08.2025
23.08.202523 Agosti 2025 Watu 24 wauawa Gaza huku baa la njaa likihofiwa kuutanua zaidi mzozo wa kibinadamu. Rais wa Ukraine Volodymir Zelensky ameyataka mataifa ya Africa, Asia, Latin America, na…
Ufaransa yasema Iran ifikie suluhu ya nyuklia haraka
Taarifa hiyo imekuja baada ya mazungumzo ya simu kati yake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, wakishirikiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, David…
Zelensky: Urusi inaukwepa mkutano kati ya yangu na Putin
Zelensky pia ametoa wito kwa washirika wa Ukraine kuiwekea Urusi vikwazo vipya kama haitoonesha dhamira ya kweli ya kusitisha uvamizi wake Ukraine. Rais huyo wa Ukraine aliyekuwa akizungumza katika mkutano…
Ujerumani yasema msaada zaidi unahitajika Ukanda wa Gaza
Hii ni baada ya ripoti ya tathmini ya Usalama wa upatikanaji wa Chakula, IPC, kutangaza baa la njaa katika ukanda huo. Radovan amesema ripoti hiyo inayoungwa mkono na Umoja wa…
Ulaya na Iran kuendeleza mazungumzo ya nyuklia
Wanadiplomasia wa Iran wanatarajiwa kukutana na wenzao wa Uingereza, Ufaransa na Ujerumani kwamazungumzo ya mpango wa nyuklia wa Tehran, wakati mataifa hayo yakizingatia kurejesha vikwazo dhidi ya nchi hiyo. Waziri…
Uingereza, Umoja wa Mataifa wailaumu Israel kwa njaa Gaza
Kauli hiyo ya Uingereza ilitolewa siku ya Ijumaa (Agosti 22) na Waziri wa Mambo ya Kigeni, David Lammy, ambaye alilaani kile alichokiita “uovu wa kimaadili na janga la kutengezwa na…
Mapigano yazidi Kivu Kusini, juhudi za amani zikiendelea
Kuanzia Jumatatu hadi Jumatano, karibu watu wanane wamepoteza maisha katika mapigano yaliyotokea kwenye baadhi ya vijiji vya wilaya ya Mwenga, vinavyopakana na wilaya ya Uvira, hali iliyoongeza wasiwasi kwa wakaazi…
Chanjo kutoka Afrika: Nyota njema yachomoza
Janga la COVID-19 limechochea harakati mpya barani Afrika za kujitegemea katika uzalishaji wa dawa na chanjo ili kupunguza utegemezi mkubwa wa uagizaji kutoka nje. Upungufu na usambazaji usio sawa wa…
Rais wa zamani wa Sri Lanka akamatwa kwa rushwa
Taarifa kutoka kituo cha televisheni cha nchini humo, Ada Derana, zinasema Rais wa zamani wa Sri Lanka, Ranil Wickremesinghe amekamatwa na Idara ya Uchunguzi wa Jinai (CID) kuhusiana na madai…
Mvutano wa mipaka ya maji kati ya Kenya na Uganda watokota
Malalamiko yamezidi kuibuliwa na wavuvi ziwani humo juu ya unyanyasaji dhidi ya wavuvi wa Kenya unaofanywa na maafisa wa usalama wa Uganda. Takriban wiki tatu zilizopita, Kenya na Uganda zilisaini…
Iran kujadili mpango wake wa nyuklia na Ulaya
Mataifa hayo matatu makubwa ya Ulaya awali yalitishia kuirejeshea Iran vikwazo ilivyowekewa na Umoja wa Mataifa, iwapo Jamhuri hiyo ya Kiislamu haitorejea tena katika meza ya mazungumzo kuhusu mpango wake…
Katz: Tutawamaliza Hamas wasiporidhia masharti ya vita
Kupitia ujumbe aliouandika kwenye mtandao wa X, Katz alisema “milango ya jehanamu” itafunguliwa dhidi ya Hamas, ambao aliwaita wauaji, hadi watakapokubali masharti ya Israel ya kumaliza vita. Ameonya kuwa iwapo…
Wanawake maveterani wa Kosovo bado hawathaminiwi, kwa nini?
Albina Haradinaj, mwanajeshi wa zamani kutoka Gjakova mwenye umri wa miaka 42. Ingawa hadhi yake ya veterani inamuwezesha kutambuliwa rasmi kama veterani wa vita pamoja na kupata mafao kama vile…
Jeshi la Niger linadai kumuua kiongozi wa kundi la Boko Haram
Kwa mujibu wa shirika la habari la AFP, jeshi la Niger limetangaza siku ya Alhamisi jioni kwamba limemuua kiongozi wa kundi la wanajihadi la Boko Haram wiki iliyopita katika Bonde…
Waziri Mkuu wa zamani wa Thailand Thaksin aachiliwa katika Kesi ya kuutusi utawala wa kifalme
Mahakama ya Bangkok imemuachilia huru bilionea aliyekuwa na utata na Waziri Mkuu wa zamani wa Thailand Thaksin Shinawatra kwa kosa la kuutusi utawala wa kifalme. Imechapishwa: 22/08/2025 – 07:58 Dakika…
Cameroon: Watu nusu milioni wako hatarini kuachwa bila msaada wa chakula yaonya WFP
Watu nusu milioni nchini Cameroon wana hatari ya kuachwa bila msaada wa chakula katika wiki zijazo kutokana na uhaba wa fedha, kulingana na shirika la Imoja wa Mataifa la Mpango…
Kampala yafafanua makubaliano yaliyofikiwa na Washington kuhusu wahamiaji kutumwa Uganda
Baada ya Rwanda, Eswatini na Sudan Kusini, ni zamu ya Kampala kufikia makubaliano kuhusu wahamiaji na serikali ya Marekani ya Donald Trump. Uganda, ambayo tayari inaongoza kwa kuwahifadhi wakimbizi barani…
Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025
Msimu wa mvua unaendelea nchini Niger, na kama kila mwaka, nchi hiyo inapata mvua kwa wiki kadhaa, mara kwa mara ikiambatana na mafuriko. Ingawa inadumu hadi mxezi Oktoba, idadi rasmi…
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Kesi dhidi ya rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila, iliyoanza mwezi Julai 2025 mbele ya Mahakama Kuu ya Kijeshi mjini Kinshasa, inakaribia kumalizika. Joseph Kabila Kabange, ambaye aliongoza Jamhuri…
DRC: François Beya, mshauri wa zamani wa Tshisekedi hatimaye ameachiliwa huru
Mahakama Kuu ya Kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imetoa uamuzi wake katika kesi inayomkabili François Beya. François Beya, aliyekuwa mshauri maalum wa masuala ya usalama wa Rais Félix…
Senegal imetoa wito kwa Marekani kuondoa vikwazo dhidi ya majaji wanne wa ICC
Senegal imejibu tangazo la Marekani la vikwazo vipya dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), ambayo inaituhumu kwa kuendesha tasisi hiyo “kisiasa.” Vikwazo hivi, vinavyolenga majaji wanne, majaji wawili,…
Majaji nchini Ufaransa waagiza kufutwa kwa uchunguzi dhidi Agathe Habyarimana
Majaji nchini Ufaransa, wamegiza kufutwa kwa uchunguzi dhidi ya Agathe Habyarimana, mke wa aliyekuwa rais wa Rwanda Juvénal Habyarimana, anayedaiwa kuhusika kwenye mauaji ya kimbari yaliyotokea mwaka 1994. Imechapishwa: 21/08/2025…
Uganda yakubaliana na Washington kuwapokea wahamiaji kutoka Marekani
Uganda itaanza kuwapokea wahamiaji wasiokuwa na sifa ya kuishi nchini Marekani, hatua ambayo inaendeleza sera ya rais Donald Trump kuwaondoa wahamiaji haramu. Imechapishwa: 21/08/2025 – 16:12Imehaririwa: 21/08/2025 – 16:36 Dakika…
Nigeria yawafukuza raia wa kigeni 102 waliopatikana na makosa ya uhalifu
Serikali nchini Nigeria, imewafukuza nchini humo wageni 102 wakiwemo raia wa China 50, waliopatikana na makosa ya uhalifu wa mtandaoni na udanganyifu. Imechapishwa: 21/08/2025 – 16:04 Dakika 1 Wakati wa…
DRC: Marekani yaomba mkutano wa dharura wa UNSC kushughulikia ukatili unaofanyiwa raia
Marekani imeitisha mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ili kushughulikia ukatili unaofanywa dhidi ya raia, wakiwemo waasi wa AFC/M23,…
Sudan: Msafara wa magari ya misaada ya WFP washambuliwa Darfur
Msafara wa magari ya msaada wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umeshambuliwa siku ya Jumatano, Agosti 20, katika eneo la Darfur (magharibi mwa Sudan), msemaji wa shirika la…
Polisi: Rais wa zamani wa Brazil Bolsonaro alikuwa akifikiria kutafuta hifadhi nchini Argentina
Polisi wanasema rais wa zamani wa Brazil Jair Bolsonaro aliandika barua ya kuomba hifadhi nchini Argentina huku uchunguzi kuhusu mapinduzi ya 2024 ukizidi. Imechapishwa: 21/08/2025 – 06:50 Dakika 2 Wakati…
Maeneo yaliyo chini ya udhibiti wa waasi kurudishwa chini ya himaya ya Serikali ya DRC
Rasimu ya makubaliano ya amani ya Kongo na M23 inalenga kurejesha udhibiti wa serikali katika maeneo yanayodhibitiwa na waasi. Imechapishwa: 21/08/2025 – 06:32 Dakika 2 Wakati wa kusoma Na: RFI…
Al-Shabaab yaripotiwa kunufaika na mzozo kati ya Somalia na Jubaland
Mapigano ya hivi karibuni nchini Somalia hasa katika eneo linalojitawala la Jubaland, yanatishia musatakabali wa eneo hilo, hali ambayo imesababisha makundi ya kijihadi kama lile la Al-Shaabab kujipenyeza na kuongeza…
Israel yaanza hatua ya awali ya kushambulia mji wa Gaza
Israel imeingia katika hatua ya awali ya kushambulia mji wa Gaza siku ya Jumatano baada ya kuidhinisha mpango wa kuutwaa ambao ni pamoja na kuwaita askari 60,000 wa akiba kwa…
Kenya yaiomba CAF kuwaruhusu mashabiki kuujaza uwanja wa Kasarani
Serikali ya Kenya imeliandikia rasmi barua shirikisho la soka la Afrika CAF, liruhusu mashabiki wa Kenya kuujaza uwanja wa Kasarani, wakati wa mchezo wa robo fainali dhidi ya Madagascar, unaotarajiwa…
Israel yaidhinisha mradi wa ujenzi wa makazi katika Ukingo wa Magharibi
Israel imeidhinisha mradi mkubwa wa makazi katika eneo la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu na walowezi wa Kiyahudi, uamuzi ambao jumuiya ya kimataifa imeonya kuwa unatishia uhai wa taifa…
aarifa Kuu Za App
WT Articles za kina, habari kali, na viendelezi vya utiririkaji wa moja kwa moja (live) kama “LTV Live Leo usiku.”Ni programu ya habari kwa Kiswahili, ikitoa taarifa za kitaifa na…
Heche na Sifuna: Ni pacha wa siasa za upinzani Afrika Mashariki?
Iwapo wewe ni mgeni katika ukanda wa Afrika ya Mashariki basi ninapotaja majina haya mawili , ni vigumu kuelewa kwa nini yametajwa katika sentensi moja.
Uchaguzi Tanzania 2025: Kwa nini idadi ya wapiga kura Tanzania ‘inazua maswali’?
Kuna tofauti ya takribani wapiga kura milioni 6.2 kati ya waliotangazwa kuwa kwenye daftari la wapiga kura (milioni 37.6) na wale waliotarajiwa kuwa na sifa ya kupiga kura, (milioni 31.4)…
Uchaguzi Tanzania 2025: Tanzania kupiga kura Oktoba 29
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) nchini Tanzania imetangaza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, utakaohusisha nafasi ya Rais, wabunge na madiwani, utafanyika siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba…
Simulizi ya Kusisimua… MKATABA – 4
ILIPOISHIA IJUMAA “Vipi kwani?” “Yule matawi ya juu sana, nimeshangaa kuona mnafahamiana tena mna ukaribu.” “Kawaida tu, yupo lakini?” “Kwani yeye amekuelekeza lini hapa” “Muda kidogo, ni kama miezi minne…
Simulizi ya Kusisimua…. MKATABA – 3
ILIPOISHIA JUMATANO “Sina uhakika na hili jambo.” “Usinitaje, mimi nimekuambia tu kama shoga yangu. Sisi wote ni wazazi.” “Sawa.” “Lakini jambo lingine linalowashtua zaidi watu ni tabia yake ya kujipenda…
OPERESHENI DAKABU
MUITO wa simu iliyokuwa mezani ulimgutusha pale kitandani alipokuwa amelala, lakini aliipuuza. Simu kwa wakati ule haikuwa na maana kabisa kwake. Msichana mrembo Upendo, alikuwa kando yake, akionyesha kumhitaji sana…
MKATABA – 2
ILIPOISHIA JUMATATU… Haraka mmoja wao akaingia ndani, hakukawia sana, tayari Ustaadhi Alii alikuwa ameshatoka nje, naye alikuwa anatweta. “Vipi Suma” “Mtihani Ustaadhi.” “Nini?” “Twende nyumbani.” Ustaadhi hakukaidi, wakatoka pamoja hadi…
MKATABA – 1
MKATABA – 1 KICHAA cha moyo kilimpanda ghafla Suma. Ni mara ya tatu sasa anamwita msichana huyo lakini haoneshi dalili ya kumwitikia. Suma akazidi kuchanganyikiwa. Kwa nini haitikii? Akajiuliza mwenyewe…
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Abiria na wafanyakazi wa ndege yenye chapa A380 ya shirika la ndege la Malaysia Airlines wamepata majeraha madogo baada ya ndege hiyo waliyokuwemo kupatwa na mtikisiko mkubwa. Imechapishwa: 06/06/2016 –…
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Dunia imealikwa kuhudhuria msiba wa Muhammad Ali, kwenye mji alikozaliwa siku ya Ijumaa ambako maisha ya nguli huyu wa masumbwi yatasherehekewa huku uma ukipewa nafasi ya kushiriki mazishi na ibada…
Mji wa Aleppo waendelea kushambuliwa na vikosi vya Serikali ya Syria
Mashambulizi ya anga yaliyofanywa na vikosi vya Serikali kwenye mji wa Aleppo hii leo, yameua watu wanaokadiriwa kufikia 16, limesema shirika moja la waangalizi wa haki za binadamu. Imechapishwa: 05/06/2016…
Upinzani nchini Kenya kuendelea na maandamano ya kila Jumatatu
Mkuu wa jeshi la polisi nchini Kenya, Josephu Boinett, ametoa onyo kali kwa viongozi wa muungano wa upinzani wa Cord dhidi ya maandamano yao waliyoapanga kuyafanya siku ya Jumatatu, June…
Tovuti ya RFIKISWAHILI kuwa na muonekano mpya kuanzia June 6
Idhaa ya Kiswahili ya Radio France International, Jumatatu ya wiki ijayo, June 6 itazindua rasmi muonekano mpya wa tovuti yake ya kiswahili, ambao sasa wasikilizaji wataweza kupata vitu vingi na…