Hii ikiwa ni kulingana na agizo lililoonekana na shirika la habari la AFP  hii leo Jumamosi.
 
Hatua hiyo inajiri baada ya vyama vikuu na mashirika ya kiraia katika taifa hilo la Afrika Magharibi, kuwa tayari kuandaa maandamano kuanzia Septemba 5, kulaani kile wanachoona kuwa ni unyakuzi wa madaraka unaofanywa na kiongozi wa utawala wa kijeshi, Jenerali Mamadi Doumbouya. 

Guinea:Aliyekuwa kiongozi wa kijeshi asemehewa kwa mauaji

Kura ya maoni kuhusu marekebisho ya katiba itafanyika Septemba 21.
 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *