Dili iliyokufa – 3
Jambo la ajabu lililotokea ni kuwa wakati yule dereva wa teksi anaiwasha ile teksi ili tuondoke kwenda katika hoteli nyingine ambayo hata sikujua iko wapi, fahamu zangu nazo zikazimika hapohapo.…
Jambo la ajabu lililotokea ni kuwa wakati yule dereva wa teksi anaiwasha ile teksi ili tuondoke kwenda katika hoteli nyingine ambayo hata sikujua iko wapi, fahamu zangu nazo zikazimika hapohapo.…
Dar City imetupwa nje katika robo fainali ya Kikapu Afrika (BAL) Play off, baada ya kufungwa jumla ya pointi 165-157 na Petro De Luanda ya Angola katika mechi mbili za…
TIMU ya Taifa ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Tanzania ‘Serengeti Boys’ itaweka rekodi mbili ikiwa itapata ushindi katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Mataifa…
KOCHA wa Namungo FC, Juma Mgunda amesema matokeo ambayo wamekuwa wakiyapata yamewaweka kwenye presha kubwa kutokana na kushindwa kufanya vizuri katika mechi za Ligi Kuu Bara.
NYUMA ya kile anachokifanya Feisal Salum ‘Fei Toto’ katika kufunga mabao na kuasisti ndani ya Ligi Kuu Bara, hivi sasa kuna maumivu anakabiliana nayo lakini hana budi kuipambania timu kufikia…
BEKI wa Dodoma Jiji, Andy Bikoko, ameonekana kuhuzunishwa vikali jinsi kikosi hicho kilivyopoteza mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba kwa kufungwa bao 1-0.
KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Fikiri Elias amesema licha ya mwanzo wake mzuri na kikosi hicho tangu alipojiunga nacho, kwa sasa sio muda wa kuangalia suala la mkataba mpya, bali…
HESABU za kocha wa Azam FC, Florent Ibenge ni kukusanya alama nne kuanzia sasa akibakisha mechi tano za Ligi Kuu Bara kwani anaamini zinamtosha kukata tiketi ya kushiriki mashindano ya…
PAMOJA na kubaki na pointi tatu nyumbani, Singida Black Stars imeweka rekodi na historia kwa Mbeya City kwa kuvuna mabao 13 katika michezo mitatu waliyokutana msimu huu.
USHINDI wa mabao 3-2 walioupata Tanzania Prisons dhidi ya Pamba Jiji umeonekana kuwapa matumaini na nguvu mpya wachezaji, benchi la ufundi na mashabiki wa timu hiyo, wakitamba kuwa haijaisha hadi…
Tulipokubaliana na afisa huyo ndipo tukaenda katika ukumbi ilikoandaliwa sherehe ya kukabidhiwa hundi yangu. Hapo watu walikunywa soda na keki na kucheza mziki kidogo kisha nikakabidhiwa hile hundi. Baadaye nikapeana…
Ullikuwa mwaka 1980. Wakati huo nilikuwa bado mshamba ninayeishi kijijini. Nilikuwa ninaishi katika kijiji cha Kibanda kilichoko wilaya ya Muheza, mkoa wa Tanga.
SINGIDA Black Stars imefanikiwa kulinda heshima yake nyumbani, ikitoa kipigo kikali cha mabao 4-1 dhidi ya Mbeya City kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa leo Mei 25, 2026 kwenye…
WAKATI mashabiki na wadau wa soka nchini wakishangaa na matokeo waliyonayo hivi sasa Fountain Gate na kiwango bora cha wachezaji, kiungo wa timu hiyo, Ismail Aziz Kader ameeleza sababu za…
BAO la dakika ya 90+4 la mshambuliaji wa Tanzania Prisons, Oscar Mwajanga, limetosha kuipa timu hiyo ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Pamba Jiji, katika mechi ya Ligi Kuu Bara…
KOCHA wa Dodoma Jiji, Aman Josiah amesema anapokutana na klabu zenye viwango vya juu kama Simba na Yanga, benchi la ufundi linakuwa limefanya uchambuzi wa kina kujua ubora na udhaifu…
MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Paul Peter amefanikiwa kufikia idadi ya mabao aliyofunga msimu uliopita ndani ya Ligi Kuu Bara na sasa ni kama amenogewa kufunga huku akisema anataka kuzitikisa nyavu…
RISASI imeendeleza ubabe wake kwa Kahama Sixers baada ya kuifunga pointi 87-60, katika Ligi ya kikapu ya Mkoa wa Shinyanga, kwenye Uwanja wa Risasi.
JKT imezinduka katika Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (BDL), baada ya kuifunga Veins BC kwa pointi 57-56 kwenye Uwanja wa Donbosco, Upanga.
BAADA ya Reel Dream kuifunga Ukonga Queens kwa pointi 70-54, katika Ligi ya kikapu Dar es Salaam (WBDL), nyota wa timu hiyo Maria Boniventura amesema ushindi wao huo umerejesha morali…
NYOTA wa JKT Stars, Jesca Ngisaise ameendelea kudhihirisha ubora wake wa kutupia, baada ya kufunga pointi 94 katika mechi mbili za Ligi ya kikapu Dar es Salaam kwa Wanawake (WBDL).
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeingia mkataba wa miaka miwili na kampuni ya usambazaji vinywaji baridi, Watercom kwa ajili ya timu zote za Taifa.
UKIACHANA na vita iliyopo ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara, imeibuka nyingine ikizihusu Azam na Simba juu ya kuipata saini ya beki wa kulia, Nathaniel Chilambo ambaye mkataba wake…
UHAMIAJI ni miongoni mwa timu zilizoanza msimu wa 2025-2026 kwa kasi zaidi lakini upepo umegeuka ghafla baada ya kucheza mechi sita bila ushindi, huku kocha wa kikosi hicho, Abdul Saleh…
KAMATI ya Usimamizi na Uendeshaji ya Bodi ya Ligi Kuu Zanzibar, imefanya mabadiliko madogo ya ratiba ya ligi hiyo kwa sababu ya kupisha Sikukuu ya Eid El Hajj.
Azam FC, Simba katika vita nyingine kwa Chilambo UKIACHANA na vita iliyopo ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara, imeibuka nyingine ikizihusu Azam na Simba juu ya kuipata saini ya…
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Mbio za kuwania nafasi ya nne imezidi kuwa wazi baada ya JKT Tanzania na TRA United kushindwa kupata ushindi katika michezo yao ya leo dhidi ya Mtibwa Sugar na Fountain…
Magwiji wa soka nchini wamesifu kikosi alichookitwa kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Miguel Gamondi kuwa kinatengeneza wachezaji watakaotumika kwa muda mrefu Taifa Stars.
KUNA nafasi ndogo kwa Ruangwa Queens na Bilo Queens zilizopo mkiani kusalia Ligi Kuu ya Wanawake msimu ujao kutokana na muendelezo mbaya wa ligi hiyo.e mechi zote. Changamoto kubwa kwa…
DAKIKA 360 zilizosalia sawa na mechi nne za Ligi Kuu Zanzibar(ZPL), ndiyo itakayoamua hatma ya mabingwa wa zamani ZPL, Malindi kubaki katika ligi hiyo au kushuka daraja.
KOCHA Mkuu wa KVZ, Hababuu Ali ameendeleza pale walipoishia watangulizi wake kwa kuiongoza timu hiyo kushinda mechi mbili na kuendelea kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL).
KOCHA wa Transit Camp, Vicent Barnabas amesema makosa binafsi wanayoyafanya katika mechi mbalimbali ndiyo yanayochangia mwenendo usioridhisha kwa kikosi hicho cha maafande msimu huu, japo wataendelea kuonyesha ushindani kwa wapinzani…
BEKI wa kati wa Mbeya Kwanza, Vintani Mtega amesema bado hajajua hatima yake katika kikosi hicho baada ya mkataba wake wa sasa kufikia ukomo mwisho wa msimu huu wa 2025-2026,…
BAADA ya beki wa kushoto wa Bigman FC, Adeyum Saleh kufikisha mabao matano msimu huu, nyota huyo amebakisha bao moja ili aweke rekodi mpya ya kufunga mengi zaidi katika timu…
BEKI wa kimataifa wa Tanzania, Haji Mnoga leo atakuwa na kibarua kizito England wakati chama lake Salford City itakaposhuka dimbani kucheza fainali ya playoff ya ligi daraja la nne 'League…
HUENDA kiungo wa Kitanzania, Diana Msewa anayekipiga Trabzonspor ya Ligi ya Wanawake Uturuki akatimkia Ulaya, baada ya Kampuni yaTMJ inayowasimamia wachezaji kimataifa kuonyesha nia ya kuingia makubaliano na nyota huyo.
LEO saa 10 jioni kwa saa za Afrika Mashariki, timu ya Taifa ya Wavulana chini ya miaka 17, Serengeti Boys itaminyana na Algeria katika mechi ya robo fainali ya Kombe…
ZIMEBAKI sita! Ndivyo wanavyosema mashabiki wa Simba Queens wakimaanisha wanahitaji kushinda mechi mbili kati ya nne zilizobaki ili kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) msimu huu.