Wabunge walia uvamizi maeneo ya wazi, michezo
DODOMA; Wabunge wameishauri serikali kuweka mikakati ya kurejesha maeneo yote ya wazi yaliyovamiwa na kuhakikisha kuwa inasimamia kikamilifu utengaji na utunzaji wa maeneo ya wazi nchini. Akiwasilisha maoni ya Kamati…