[ad_1]
Botswana imetangaza dharura ya kiafya huku nchi hiyo ikikabiliwa na upungufu mkubwa wa dawa na vifaa tiba. Uhaba huo umesababisha hospitali na zahanati nchini humo kuhangaika kutibu magonjwa kuanzia shinikizo la damu, kisukari hadi saratani.
[ad_2]
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
Botswana yatangaza dharura ya kiafya huku kukiwa na uhaba mkubwa wa dawa