Harakati za muqawama za Hizbullah na Amal za Lebanon zimetoa wito kwa wafuasi wao kujitokeza kwa wingi katika mitaa ya Beirut mji mkuu wa nchi hiyo ili kupinga maamuzi ya hivi karibuni ya baraza la mawaziri ya kuyapokonya silaha makundi ya Muqawama.
Source link
