Iran na nchi tatu zenye nguvu za Ulaya – Ujerumani, Ufaransa na Uingereza – zinatazamiwa kuanza tena mazungumzo ya nyuklia huko Geneva, Uswisi siku ya Jumanne, yakiangazia maswala ya nyuklia na uondoaji wa vikwazo.
Source link

Iran na nchi tatu zenye nguvu za Ulaya – Ujerumani, Ufaransa na Uingereza – zinatazamiwa kuanza tena mazungumzo ya nyuklia huko Geneva, Uswisi siku ya Jumanne, yakiangazia maswala ya nyuklia na uondoaji wa vikwazo.
Source link