F

    • Author, Tessa Wong
    • Nafasi, BBC

Ilikuwa ni Ijumaa nyingine asubuhi kwenye kisiwa cha Taiwan cha Kinmen, kilomita chache kutoka pwani ya China, wakati king’ora cha mashambulizi ya anga kilipolia.

Katika ofisi ya serikali ya mtaa, watu walizima taa na kujitia chini ya meza. Wengine walikimbilia kwenye maegesho ya magari ya chini ya ardhi. Katika hospitali ya karibu, wafanyakazi walikimbia kuwatibu watu waliokuwa na majeraha na damu.

Lakini damu hiyo ilikuwa ya uwongo, na waliojeruhiwa walikuwa waigizaji wa kujitolea. Walikuwa wakishiriki katika mazoezi ya lazima ya ulinzi wa raia yaliyofanyika kote Taiwan mwezi uliopita.

Ni mazoezi ya kujiandaa na shambulio linaloweza kufanywa na China.



Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *