Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo lilitangaza Jumatatu kwamba maafisa 41 wa ngazi za juu jeshini wamesailiwa kama sehemu ya uchunguzi kuhusu kushindwa kwa vikosi vya serikali wakati wa mapigano dhidi ya waasi wa M23 katika eneo la mashariki la nchi hiyo lenye machafuko.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
