Mgombea wa chama cha Republican achoma Qur'ani ili kuunga mkono kampeni yake ya uchaguziMgombea wa chama cha Republican achoma Qur'ani ili kuunga mkono kampeni yake ya uchaguzi



Mgombea wa chama cha Republican wa kiti cha Kongresi huko Texas, anayejulikana kwa uadui wake mkubwa dhidi ya Waislamu amewakasirisha Waislamu zaidi ya bilioni mbili duniani kwa kuchoma moto nakala ya kitabu hicho kitakatifu ili kuunga mkono kampeni yake ya uchaguzi.



BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *