Mkutano wa OIC mjini Jeddah wahimiza hatua ya pamoja kumaliza mauaji ya kimbari GazaMkutano wa OIC mjini Jeddah wahimiza hatua ya pamoja kumaliza mauaji ya kimbari Gaza



Mkutano wa dharura wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama wa Shirika la Ushirikiano la Kiislamu (OIC) ulianza Jumatatu mjini Jeddah, Saudi Arabia, ambapo washiriki wamesisitiza umuhimu wa kuchukuliwa hatua ya pamoja kwa ajili ya kusaidia Gaza na Palestina.



BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *