Mkutano wa dharura wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama wa Shirika la Ushirikiano la Kiislamu (OIC) ulianza Jumatatu mjini Jeddah, Saudi Arabia, ambapo washiriki wamesisitiza umuhimu wa kuchukuliwa hatua ya pamoja kwa ajili ya kusaidia Gaza na Palestina.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
