Mpiga picha wa Canada, Valerie Zink, ametangaza kujiuzulu kutoka kwenye shirika la habari la Reuters, akipinga nafasi ya shirika hilo katika kuendeleza propaganda za Israel na kuhalalisha mauaji ya waandishi wa habari wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
