H

Chanzo cha picha, Getty Images

Chelsea imekubali kumtoa kwa mkopo mshambuliaji wa Senegal mwenye umri wa miaka 24 Nicolas Jackson kwenda Bayern Munich. (Bild)

Kiungo wa England Kobbie Mainoo, 20, atafikiria kuondoka Manchester United katika wiki ya mwisho ya dirisha la usajili iwapo klabu itapokea ofa inayofaa. (Talksport)

Crystal Palace wamewasilisha ofa ya pauni milioni 15 kwa ajili ya kumnunua beki wa Uswizi wa Manchester City Manuel Akanji, 30. (Sun)

Mshambuliaji wa Denmark wa Manchester United Rasmus Hojlund, 22, atapata ongezeko kubwa la mshahara iwapo atakubali kujiunga na Napoli kabla ya dirisha la usajili kufungwa. (Gazzetta dello Sport)



Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *