DIRA.BZ27 Agosti 2025

Nchi za Magharibi ambazo ni washirika wakuu wa Kiev, zimekuwa zikijadili uwezekano wa kupelekwa kwa wanajeshi nchini Ukraine// Uhaba wa maji unaotokana na ongezeko la viwango vya joto na ukame duniani huenda ukavuruga mifumo ya uchumi wa mataifa na kusababisha ukosefu wa chakula, uhamiaji na misukosuko ya kisiasa.

https://p.dw.com/p/4zZ96

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *