SK2 / S02S27 Agosti 2025

Tume huru ya uchaguzi nchini Tanzania (INEC) imekiandikia chama cha upinzani cha ACT Wazalendo kuwa hakitaweza kumteua mgombea wa urais kupitia chama hicho, Luhaga Mpina// Serikali ya Kenya imeanzisha rasmi jopo la wataalamu litakalosimamia fidia kwa waathiriwa wa maandamano na ghasia za umma yaliyoshuhudiwa nchini tangu mwaka 2017

https://p.dw.com/p/4zZvb

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *