Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuingia nchini kwa wakaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA ni uamuzi uliochukuliwa na Baraza Kuu la Usalama wa Taifa kwa ajili ya kuchunguza suala la kubadilishwa mafuta ya kiwanda cha kuzalisha umeme cha Bushehr. Amesema hakuna maafikiano yoyote yaliyofikiwa kuhusu ushirikiano mpya wa Iran na wakala huo.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
