Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amesisitiza kuwa suala la kufunga Mlango-Bahari wa Hormuz si msimamo rasmi wa Iran, na kusisitiza kuwa sera ya Tehran ni kudumisha amani na utulivu katika Ghuba ya Uajemi.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
